Wanasayansi wameshindwa nini kutengeneza moyo bandia ili usaidiane na moyo halisia

Wanasayansi wameshindwa nini kutengeneza moyo bandia ili usaidiane na moyo halisia

PSEUDOPODIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2020
Posts
392
Reaction score
798
Huwa na waza sana, kwamba ili mtu awe hai ni lazima moyo uendelee kufanya kazi na kusuply damu maeneo yote ya mwili.

Sasa wanasayansi wanashindwa vipi kutengenezea moyo bandia ili usaidiane na moyo halisi, ili itapofika muda moyo halisi umeshindwa kufanya kazi basi moyo bandia unaendelea kufanya kazi hivyo kufanya mtu aendelee kuishi badala ya kufa. Hapo kimeshindikana Nini??
 
any way wataalamu watatoa majibu, but kwa uelewa wangu mdogo

kuna artificial heart inaweza tumika after sometimes, but nakumbuka kwa bailojia yangu ya form 2, "brain" is the last organ ambayo ndio inatumika confirm death (Means ikifa ndio basi tena)
 
Kuna vichwa vipo maabara huko USA,china,Japan na south Korea vinatest mioyo Kwa watu waliokufa wanaamin IPO siku watafanikiwa
 
Well ,
1.moyo unaendeshwa na Ubongo mkuu....
2.Mbona kuna hali ikamkumba mtu na kumfanya mtu atumie mashine kuuendesha mwili.
 
Huwa na waza sana, kwamba ili mtu awe hai ni lazima moyo uendelee kufanya kazi na kusuply damu maeneo yote ya mwili.

Sasa wanasayansi wanashindwa vipi kutengenezea moyo bandia ili usaidiane na moyo halisi, ili itapofika muda moyo halisi umeshindwa kufanya kazi basi moyo bandia unaendelea kufanya kazi hivyo kufanya mtu aendelee kuishi badala ya kufa. Hapo kimeshindikana Nini??
Kama wameweza kutulisha GMO genetic modified seeds kwanini tusiwe maroboti wenye mioyo bandia tayari!!?

Fikiria utoto wako wa enzi zile halafu njoo kwenye utoto was Sasa unaouona Kwa watoto was kileo unawaona wapo sawa!!?
 
Wakisema tayari wameweza kutengeneza moyo bandia utakuwa tayari kufanyiwa majaribio?

Ngumu eeh?

Basi ndio hivyo ilivyo, sometimes wanasayansi wanatengeneza vitu ila wanashindwa kupata watu wa kuwafanyia majaribio kwasababu wengi wanakuwa waoga kama wewe.
 
H kunani mna vituko sana, wewe umeshindwa nini kuwa mwanasayansi?
 
Huwa na waza sana, kwamba ili mtu awe hai ni lazima moyo uendelee kufanya kazi na kusuply damu maeneo yote ya mwili.

Sasa wanasayansi wanashindwa vipi kutengenezea moyo bandia ili usaidiane na moyo halisi, ili itapofika muda moyo halisi umeshindwa kufanya kazi basi moyo bandia unaendelea kufanya kazi hivyo kufanya mtu aendelee kuishi badala ya kufa. Hapo kimeshindikana Nini??
Haya ndiyo yanayoitwa transformative ideas; wazo zuri sana.

Hata hivyo elewa kuwa mwili wa binadamau ni complex sana, kila kiunga kinatakiwa kifanye kazi kwa ufanisi fulani kulingana na mahitaji ya mwili. Kikizidisha ufanisi basi kunakuwa na matatizo na vile vile kisipofikisha ufanisi unaotakiwa ndiyo hivyo tena. Ndiyo maana moyo wa mtoto siyo sawa na moyo wa mtu mzima kwa vile mahitaji ya mwili wa mtoto siyo sawa na mahitaji ya mtu mzima. Sasa ukiweka mioyo miwili ndani ya mwili mmoja, ama utakuwa unazidisha ufanisi, jambo ambalo mwili hautaki, au utalazimisha moyo wa asili upunguze ufanisi, jambo ambalo mwili pia hautaki.

Unaweza kuona ugumu uliopo katika kutekeleza wazo lako, japo ni ni wazo transformative sana
 
Moyo bandia umekua ukitumika wakati wa upasuaji lakini wa kumuekea mtu adumu nao ndio tafiti zinaendelea kwenye moyo bandia uliobuniwa na mwanasayansi Australian engineer Daniel Timms.

Mimi sio daktar lakini Moyo ukisimama haimaanishi kifo unaweza kustuliwa ukaendelea kufanya kazi
 
Nani kwakwambia sababu ya kifo moyo kiacha kifanya kazi tu kwamba kuliw na replace kwamba mtu ataishi.

Mpaka moyo unaacha kifanya kazi means cell zilishakufa kama zilizopo kwenye misuli ya moyo na sehemu za mwili so hata kuliwa na moyo wa bandi wa kusukuma damu damu itaenda sehemu ambapo cell zishakufa, itapita kwenye mishaps ambayo cell zishakufa mapande ya nyama tu nooh.
 
Back
Top Bottom