johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni vema nyakati hizi tukawa tunaelezana mambo kwa usahihi kabisa tukiongozwa na nguli wa industry husika
Kwa sasa story ya mjini ni mikopo
Niwaombe Nguli wa Finance watujuze Mikopo Nafuu kwa level za kimataifa tunaipimaje
Kwa rate ya interest?
Au kwa Collateral inayohusika na mkopo?
Ama Risk kwa pande zote mbili?
Nimekaa pale nawasubiri Dr Luchemba, Dr Mashawishi na Dr Mutaitina na Prof Arora😄😄😄
Kwa sasa story ya mjini ni mikopo
Niwaombe Nguli wa Finance watujuze Mikopo Nafuu kwa level za kimataifa tunaipimaje
Kwa rate ya interest?
Au kwa Collateral inayohusika na mkopo?
Ama Risk kwa pande zote mbili?
Nimekaa pale nawasubiri Dr Luchemba, Dr Mashawishi na Dr Mutaitina na Prof Arora😄😄😄