Wanasema kuoga maji ya moto si sawa kwanini? Na vp mikoa ya barid?

he!......kwa nini ni vibaya.....? hata ukiwa kwenye -4....?
 
he!......kwa nini ni vibaya.....? hata ukiwa kwenye -4....?

mh nimewah sikia wenyewe wanasema maji ya moto hayatakiwi kwa mwili! Sijajua!
 
huu ushauri mwingine ni kama nguvu za giza ss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…