cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 652
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya taasisi zinawatumia wanasheria ambao hawajaenda law school wakati wameajiliwa muda mrefu na wamekuwa wakiomba kwenda kujiendeleza lakini hawapewi nafasi hiyo hata kama wameomba kwenda kujisomesha wao wenyewe.
Ni jambo la msingi sasa idara ya mahakama iwazuie hadi wamalize/wapelekwe law school kwani hii ni kuwanyima haki yao ya msingi na kuwabana wasiweze kubadili mwajiri kwenda kutafuta maslahi bora na utendaji ulio bora.
Ikiwezekana Chama Cha Wanasheria Tanzania kiingilie katika hili kwani ni kudumaza tasinia ya sheria.
Ni jambo la msingi sasa idara ya mahakama iwazuie hadi wamalize/wapelekwe law school kwani hii ni kuwanyima haki yao ya msingi na kuwabana wasiweze kubadili mwajiri kwenda kutafuta maslahi bora na utendaji ulio bora.
Ikiwezekana Chama Cha Wanasheria Tanzania kiingilie katika hili kwani ni kudumaza tasinia ya sheria.