Aisee hii sasa ishakuwa tabu na sidhani kama wana nia njema na washitakiwa.Wanasheria tunaomba mtusaidie juu ya hili jambo.
Sioni kabisa logic ya Mbowe kuendelea kujitetea mbele ya hii mahakama.
Someni hiki:
View attachment 2005847
View attachment 2005849
Lkn wao hawaoni aibu kwa sababu Mungu kasha wafunga ili neno litimieBig Shame:
Huu sasa ndio Utopolo
Ipo siku tutachekwa hata na mabubuMazingaombwe...Nyaraaka tokeaa inatokea!!!.
Ndiko tulikofikia kama Banana Republik.
Kwahiyo unakubali kwa niaba ya waendesha mashitaka kuwa hakuna uwanja sawa?DPP na Mahakama wote waziri wao ni mmoja!
Kwa sasa ni Prof Kabudi.
Hakuna marefu yasiyo na nchaJaji hapa atatoa uamuzi kwa kutumia opinion zake na ataibeba Jamuhuri.
Asante sana kwa kukiri kuwa mahakama inafuata maelekezoMwenyekiti wa CCM ndio mkuu wa kila kitu.
Anapitisha Spika na Jaji mkuu.
Na wakuu wa vyombo vya dola.
Profesa wa Jalalani. Imagine bwashe. Huyu Profesa naanza kuamini wanafunzi wake akina Tundu Lisu walifaulu kutokana na ugenius wao siyo couching yake. Kabudi aliyekuwa mwanasheria wa Kanisa Angalikana Tanzania. Daaah.DPP na Mahakama wote waziri wao ni mmoja!
Kwa sasa ni Prof Kabudi.
Ni wachache sana wanaolewa hiki ulichosema.Lkn wao hawaoni aibu kwa sababu Mungu kasha wafunga ili neno litimie
Wanasheria tunaomba mtusaidie juu ya hili jambo.
Sioni kabisa logic ya Mbowe kuendelea kujitetea mbele ya hii mahakama.
Someni hiki:
View attachment 2005847
View attachment 2005849
Hakika Mungu ndiye muweza wa yooteNi wachache sana wanaolewa hiki ulichosema.
Mkuu wacha yote yatokee maana hakuna popote pale duniani hasa barani Afrika ambapo mpigania haki hajawahi kufungwa.Nilimuunga mkono Lema kwamba Mbowe na wenzie waondoe Mawakili wao lakini acha tu huu UHUNI na UNAFIKI wa hii Serikali haramu uendelee ili tuone mwisho wake. Namhurumia sana Mbowe na familia yake kwani kuna kila dalili Xmas na mwaka mpya atazilia lupango.
View attachment 2006001
Hakika Mungu ana makusudi kwa kila jambo.Nilimuunga mkono Lema kwamba Mbowe na wenzie waondoe Mawakili wao lakini acha tu huu UHUNI na UNAFIKI wa hii Serikali haramu uendelee ili tuone mwisho wake. Namhurumia sana Mbowe na familia yake kwani kuna kila dalili Xmas na mwaka mpya atazilia lupango.
View attachment 2006001
Nasikitika kwa kua na wapinzani ambao wanajua mwisho wa kesi na bado wanashiriki hawaonyeshi protest yoyote,kazi kulalama,hata uchaguzi ukifika watashiriki ilhali wanajua kitakachotokea.Unalalama, unashauri au unasikitika.?
Huko sii kutafuta kuhalalisha mashitaka bambikizi, kwa mujibu was vielezo vya wabambikiaji, chama Cham ubora was viwango vya kidunia haviwezi kijiingiza huko, kinahitaji kuwathibitishia wabambikaji kuwa wemebambika na ni waovu was wakati wote🏋️.Nasikitika kwa kua na wapinzani ambao wanajua mwisho wa kesi na bado wanashiriki hawaonyeshi protest yoyote,kazi kulalama,hata uchaguzi ukifika watashiriki ilhali wanajua kitakachotokea.