Wasalaam wadau! Nina degree ya usimamizi wa biashara,Naweza kusoma masters ya Sheria? Au kuna njia ipi sahihi kusomea sheria ukiwa na degree ya kwanaza tofauti na sheria?
unaweza kusoma mkuu ila itakusumbua sana mana una basic ya law.. kwa mtazamo wangu unaweza ukapiga dip au certificate ya law ili ikipu brash kidogo arf uje upige masters ila kamaupo pouwa unaweza ukasoma mana watu wapo wanaosoma
unaweza kusoma mkuu ila itakusumbua sana mana una basic ya law.. kwa mtazamo wangu unaweza ukapiga dip au certificate ya law ili ikipu brash kidogo arf uje upige masters ila kamaupo pouwa unaweza ukasoma mana watu wapo wanaosoma