Wanasheria msaada wenu unaitajika hapa

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Poleni na majukumu ya kila siku

Msada ambao unaitajika hapa ni kutaka kujua je mtuhumiwa ambaye anatuhumiwa kumpatia mimba mwanafunzi wa shule je anaweza kupewa dhamana

Na kama anaweza kupewa dhamama je hiyo dhamama ikatolewa wapi, kituo cha polisi au mahakamani.

niweke wazi kidogo swala hili mtuhumiwa amekatwa baada ya mwanafunzi kupimwa na kugundulika mzamzito na kuambiwa a mtaje mhusika akamtaja mhusika mhusika akakamatwa tayali kukiwa na vielelezo vyote yani binti yupo, vipimo vipo na mtuhumiwa tayali yupo

Swali je hapo mtuhumiwa anaweza kupata dhamana
 
Subiria ukaunganishwe na babu seya.


Swissme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…