Mimi ni marketing officer kutoka Unilever courier- nafanya shughuli ya kudeliver parcel au document- kwa sh.5000/= elfu tano tu.nina bima katika service yangu ikitokea document imepotea una be -reimbursed kulingana na value ya document iyo,,,ninadeal na confidential document,, wapo wanasheria wanaonipatia notes nipeleke kwa clients wao ,,,popote walipo zinawafikia kwa wakati maalum. karibu namba yangu ni 0653 620415