Wanasheria,naomba mfano wa kesi ambayo circumstantial evidence ilitumika kumtia mtu hatiani

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Naomba kujulishwa kama ushahidi wa kimazingira(circumstantial evidence) unaweza kutumika mahakamani kumtia mtu hatiani.

Pamoja na hayo maelezo(kama yatapatikana) naomba pia kutajiwa kesi mojawapo (ikiwezekana ututajia ni kesi namba ngapi na ni ya mwaka gani) ambayo ushahidi wa kimazingira ulitumika kumtia mtu hatiani.

Nauliza hivi kwania njema kabisa kwasababu hata hapa mtandaoni watu tumekuwa tukiamini(pengine kimakosa) kuwa tukiandika jambo/tukileta mada inayoweza kutafsiriwa kuwa inamgusa au inamuhusu mtu fulani hatuwezi kuwa matatani mradi tu mada hasukia haijamtaja mtu moja huyo kwa moja kwa jina lake wala kutaja cheo chake.

Nawasilisha.
 
Nasubiria kusoma kutoka wanasheria
 
Ama kitabu cha Criminal Law and Procedure: A digest of cases by Chipeta
 
Pia soma ADMINISTRATION OF JUSTICE IN MAINLAND TANZANIA by FRANK MIRINDO
 
Dah a good lawyer is made in the library..kama wewe ni Mwanasheria usirudie tena ila kama ni layperson soma law reports au fata ushauri wa wadau hapo juu
 
But si mbaya kumshauri koz naona each post inakomalia aliyetuma post Akasome...! Lawyers usually give opinion Na Trust me Sheria ipo applicable wherever you go..sidhani kama ni offence kumpa jibu,,kwanza Nina doubt wanaotoa ushauri ni Half-baked lawyers...if you're a learnt fella hutoacha kumshauri MTU either layman or what's soo ever,,hembu waza jamii inakuchukuliaje kwa majibu yako au hata mtaani au kwenu ama client akikuomba ushauri huwa una respond the same..!! Huo ndio u advocate mchwara sasa be Positive Na jifunze kuwa kioo kwa jamii
 

U read my mind,brother.
Exactly what u said,is what should be done by so called lawyers in here.
 
Pole..sasa lawywer unataka utafuniwe
Mtu aliyeelimika hawi hivyo brother ingekuwa hivyoo hata dr.akienda hospital kutibiwa na dr.mwenzie wangekuwa wanaambiana wakasome.inaonyesha nikiasi gani una i.q ndogo sanaa.ni bora ukatoa maelezo ili uonekane ni msomi utoe na reference yasehemu uliyosoma hapo ndo tutakuona ww msomi. Badilika wote tusomao humu sio wana sheria kaa ukitambua hilo.
 
Sasa unapewa njia rahisi kasome sehemu fulani unatakaje ?? Kuna vitu vingine havitafai kutafuniwa mjomba.
Huyo alikua anataka cases za cirm.evidence ndo nikamuagizia pa kuzipata...sasa ulitaka nimchambulie izo cases hapa?
 
 

NDUGU SALARY SLIP
Mie siyo mwanasheria na sina jibu la kufaa kwa swali lako. Ila kwa kuheshimu nia yako nzuri na kukutia moyo hebu jaribu kupitia kesi iliyoamriwa hivi majuzi ya yule askari kiongozi aliyehukumiwa kifo katika sakata la Mabwe Pande. Uanzie hapo yaliyobaki ya kina wanasheria wanyenyekevu watakusaidia. Kusoma ni pamoja na kukubali kuwa kuna wakati mwingine unahitaji msaada wa wengine. Wewe utaweza kuwa msomi mkubwa sana huko mbele. Bahati mbaya fani yangu ni nyingine kabisa. Ningechangia mawazo zaidi katika mada hii
 
Sasa unapewa njia rahisi kasome sehemu fulani unatakaje ?? Kuna vitu vingine havitafai kutafuniwa mjomba.
Huyo alikua anataka cases za cirm.evidence ndo nikamuagizia pa kuzipata...sasa ulitaka nimchambulie izo cases hapa?
unavyoonekana hujui kitu wewe, sheria yako uliyosoma na muda uliotumia ni bora ungefungua kibanda cha shoe shine walau ungekuwa hukosi 1000 kwa siku, mtu anaomba msaada wewe unamwambia kasome, sasa huo ni msaada au ni mzigo? na ndo madhara ya kukurupukia fani, LAW LAW yaani kilichopo kichwani mwako ni majina ya vitabu tu ila hata hujui vimeandikwa nini
 
Humpi samaki unamfundisha kuvua samaki.
Na mimi nasema akasome tu!
 
We taaira kweli...sasa mm nampa njia rahisi ya kupata izo kesi ulitakaje hasa? Kama huyo jamaa ni lawyer ye ndo hajui kitu mana hata research hajui kufanya.
Alafu usilie lie hapa...sitoi legal aid mm..
Nimempa list ya vitabu vizuri ulitaka mm nimnunulie ivo vitabu ama.
Vitu vingine huezi kuandikiwa hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…