boyayoparuparu
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 343
- 81
Jina la waziri mkuu litakalo pendekezwa kesho ndani bunge,linaweza kuthibitishwa na wabunge wa upande mmoja wa muungano na ikawa ni halali?bunge lenyewe linaweza kuanza vikao vyake bila wabunge wa zanzibar? Spika nae ni halali kuchaguliwa bila wabunge wa zanzibar? Msaada tafadhali