Wabunge wa Zanzibar ni wabunge waliochaguliwa kwa taratibu za Nec, uchaguzi uliofutwa ni wa Zec hivyo wabunge wa znz wapo kama kawaida na wanaapishwa na kuendelea na ubunge kama kawaida labda kama wa CUF watasusa.
Wabunge wakifikia akidi ya theluthi mbili wanaruhusiwa kuendela na utaratibu wa kuthibitisha/kutothibitisha jina la Waziri Mkuu.
Jambo linalo nitatiza ni kuhusu siku alizotumia Magufuli kumtangaza Waziri Mkuu. Sheria inamtaka amtangaze ndani ya Siku 7 tangu kuanza rasmi kazi za Urais(Kuapishwa) sasa hili la kutumia siku 14 sijaelewa mwenye uelewa wa kisheria anijuze!!