Wanasheria naombeni ushauri wenu kuhusu kesi hii

epic

Member
Joined
Jan 11, 2018
Posts
27
Reaction score
5
Ndugu wana jf nilipoteza pesa katika account yangu ya benk ambayo pesa hiyo ilihamishwa kwenda kwenye namba ya simu ya mtu nisiyemfaham nilifuatilia namba hiyo mtuhumiwa nilimkamata na kumpeleka Polis kabla ya kufika juu zaidi familia waliomba tuyamalize pale polis kabla ya kufika juu zaidi tulikubaliana anilipe pesa na gharama alinilipa nusu lakini iliyobaki anadai hana hela nimeamua kumpeleka mahakaman ya mwanzo na tarehe 3/4 tunapambana mahakaman
Naomba ushauri wenu juu ya
1.nini inaweza kuwa maamuz ya mahakaman
2.maswar ya kisheria ya kumuuliza mtuhumiwa
3.NAOMBA USHAURI WAKO UNAOHISI NI MUHIMU.
 
😉 Sheria ni ngumu sana na kushinda kesi ni ujanja Wala sio kujua sheria.
Kesi ya madai hiyo
 
Unamdai sh...Ngapi? mapaka sasa hivi ...then mliandikiana au ..Je akikuuuliza kuwa ...una uhakika gani kuwa ni yeye alichukua pesa yako ...unaweza kujibu vipi.

Usipokuwa makin mtuhumiwa atakubwaga kweny kesi yako ...labda kama ndo anajifunza Fani ya wizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…