Mwenye fununu za sifa za kuwa Judge wa Mahakama ya Rufaa anisaidie kujua kama Feleshi kama ana professional qualifications /anastahili au ni zawadi kutoka kwa mama.
Sijwahi ona HUKUMU ya Feleshi kutoka High Court of Tanzania katika tafiti zangu ( I MIGHT BE WRONG AND NOT INFORMED)
Anakwenda Court of Appeal kufanya nini?
www.thecitizen.co.tz
Sijwahi ona HUKUMU ya Feleshi kutoka High Court of Tanzania katika tafiti zangu ( I MIGHT BE WRONG AND NOT INFORMED)
Anakwenda Court of Appeal kufanya nini?
INTERVIEW: Feleshi’s appointment a demotion?
>Since President Jakaya Kikwete appointed former Director of Public Prosecution Eliezer Feleshi a judge of the High Court, debate has raged on whether or not the appointment was a demotion. In...