....Kuna bwana mmoja kanunua shamba jirani yetu!mipaka iliyokuwepo tangu awali sikuwahi kusikia tatizo la mipaka.baba yangu alifariki july,ss huyo jirani mama yake ambaye alikuwa mmiliki alishafariki!mtoto wa huyo mama ameuza hilo eneo na kudai mpaka umepinda na kuchukua jukumu la kuweka mipaka mipya.kuna miti ilikuwa upande wa eneo letu amesema iko upande wake!nishaurini