kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Mtumishi wa kada ya ualimu ngazi ya sekondari ameingiziwa fedha kiasi cha milioni moja kwenye akaunti yake ,baada ya kuingiziwa fedha anaambiwa ahamie kituo kingine wanasheria hebu leteni tafsiri juu ya uhamisho huu asanteni