REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Poleni na majukumu ya kila siku
Nilikuwa naomba kujua endapo mshitakiwa, kapelekwa kituoni akapata dhamana akatoka, siku ya kesi mshitakiwa uyu kaenda mahakamani anambia inaitajika arudi mahabusu kwani dhamana haipo kwani hakimu anayesikiliza kesi yake hayupo mshitakiwa uyu anachukuliwa na kurudi Mahabusu anapangiwa siku ya kesi, siku ya kesi mshitakiwa anaenda mahakamani anakuta hakimu hayupo hivyo dhamana haiwezi tolewa mshitakiwa anarudi tena mahabusu anapangiwa siku nyingine ya kesi siku inafika anakuta tena hakimu hayupo hivyo hawezi pata dhamana
Sasa naomba muongozo sheria inasemaje hali hii ikijitokeza kwani mshakiwa dhamana Yake ipo wazi tatizo hakimu hayupo hivyo anakosa je kipi kinaitajika kifanyike hata kama hakimu Anayesikilizà hii kesi akiwa ayupo mshitakiwa apate dhamana
Naomba msaada wenu watalaam
Nilikuwa naomba kujua endapo mshitakiwa, kapelekwa kituoni akapata dhamana akatoka, siku ya kesi mshitakiwa uyu kaenda mahakamani anambia inaitajika arudi mahabusu kwani dhamana haipo kwani hakimu anayesikiliza kesi yake hayupo mshitakiwa uyu anachukuliwa na kurudi Mahabusu anapangiwa siku ya kesi, siku ya kesi mshitakiwa anaenda mahakamani anakuta hakimu hayupo hivyo dhamana haiwezi tolewa mshitakiwa anarudi tena mahabusu anapangiwa siku nyingine ya kesi siku inafika anakuta tena hakimu hayupo hivyo hawezi pata dhamana
Sasa naomba muongozo sheria inasemaje hali hii ikijitokeza kwani mshakiwa dhamana Yake ipo wazi tatizo hakimu hayupo hivyo anakosa je kipi kinaitajika kifanyike hata kama hakimu Anayesikilizà hii kesi akiwa ayupo mshitakiwa apate dhamana
Naomba msaada wenu watalaam