isidingo 1961
Senior Member
- Nov 9, 2015
- 106
- 13
Atasema alifanya vile kama mtego na ndio maana alirekodi video hivyo kushinda kesi. Wewe unapotoa rushwa huwa unarekodi?
Kwa hy baada ya kazi nzuri aliyofanya bado unataka akamatwe? Au haukuwa mpango wa dereva kumkamatisha yule askari?