CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Wana FJ, hivi ni jaji gani ameisikiliza kesi ya Lema. Nina wasiwasi na majaji wetu watukufu waliomwagwa na JK kama fadhila au kutimiza azma ya kuwepo na majaji wengi/wakutosha bila kuzingatia ukomavu kushika nafasi ya high court judge. Nasema hivyo kwa sababu ukisoma hukumu za majaji hao ukalinganisha reasoning yao katika hukumu zao na reasoning katika hukumu zilizotolewa na Majai wa zamani kama Lugakingira, Mroso, Katiti, Makame, Lubuva etc you will come to a conclusion kuwa kuna tatizo na waheshimiwa wa leo. Just do a sim,eresearch, read some few high court decisions of today's judges and read also those of the retired judges I have mentioned. Nawaheshimu sana Majaji wetu watukufu, lakini.....