Wanasheria wa Tanzania acheni kuwinda teuzi. Jitokezeni kwa wingi kumsaidia Mpina katika kesi yake.

Wanasheria wa Tanzania acheni kuwinda teuzi. Jitokezeni kwa wingi kumsaidia Mpina katika kesi yake.

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Katika kesi inayotarajiwa kufunguliwa na Mpina, natarajia kuona wanasheria wengi nchi hii mkijitokeza (kwa kujitolea) kumsaidia ili kuonesha uchungu ktk kuipigania haki hapa nchini.

Wanasheria acheni kujiweka nyuma, kwa kujifanya waungwana ili kutengeneza mazingira ya kutafuta teuzi.

Wenzenu kule Kenya wameonesha mfano mzuri kwa kusimama upande wa wananchi katika sakata la muswada wa fedha.

Soma====>> Breaking News: - Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
 
Katika Kulifanikisha Hili, watu wa karibu na MPINA.. mwambieni aweke Akaunti zake za Simu au Benki , TUWEZE KUCHANGIA.



Katupigania sana Watanzania, katutoa kimasomaso, sio tu hili la Sukari, rudi nyuma DP ,wamasai, Wakulima, wavuvi , Kila Sekta amegusa.

Kwa hakika , Hatupaswi kumuacha SHUJAA yule, hata kama hatuwez kuwepo mahakaman, Basi tuhakikishe anakula, anakunywa, analala sehem salama , na uhakika wa mizunguko bila kutumia Gharama yake yoyote.
 
Katika kesi inayotarajiwa kufunguliwa na Mpina, natarajia kuona wanasheria wengi nchi hii mkijitokeza (kwa kujitolea) kumsaidia ili kuonesha uchungu ktk kuipigania haki hapa nchini.

Wanasheria acheni kujiweka nyuma, kwa kujifanya waungwana ili kutengeneza mazingira ya kutafuta teuzi.

Wenzenu kule Kenya wameonesha mfano mzuri kwa kusimama upande wa wananchi katika sakata la muswada wa fedha.

Soma====>> Breaking News: - Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Wako wapi hao wanasheria nchi kila siku inashindwa kesi za mchongo!
 
Katika kesi inayotarajiwa kufunguliwa na Mpina, natarajia kuona wanasheria wengi nchi hii mkijitokeza (kwa kujitolea) kumsaidia ili kuonesha uchungu ktk kuipigania haki hapa nchini.

Wanasheria acheni kujiweka nyuma, kwa kujifanya waungwana ili kutengeneza mazingira ya kutafuta teuzi.

Wenzenu kule Kenya wameonesha mfano mzuri kwa kusimama upande wa wananchi katika sakata la muswada wa fedha.

Soma====>> Breaking News: - Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Watanzania kwanza waelewe kuwa Mpina aliwakilisha mamia kwa maelfu ya wao katika kushughulikia ukiukwaji wa taratibu , miongozo na hatua za kufuata katika jambo husika. Pili namna bunge lilivyo shughulikia jambo husika na matokeo yake kwa jamii.
 
Watokee wengi kama Boniface Anyisile Mwabukusi, kumtetea huyu shujaa wa wananchi.
 
Back
Top Bottom