asanteelimu2016
JF-Expert Member
- Sep 23, 2016
- 235
- 127
Habari zenu wakuu
Leo nikiwa katika kivuko kutoka mwanza kwenda ukerewe nikiwa nimekaa siti moja na wasukuma hawa walikuwa wakiulizana kuwa hivi kuna sababu mwanasheria kumuomba Mungu na kusali? Wanasheria wanaweza kuiona mbingu?
Sikuwa nimewaelewa kwa sababu sikujua point yao unalenda wapi, walipokuwa wakiendelea na mazungumzo ndipo nikawaelewa kuwa
"Kwa sababu mwanasheria anajua kabisa huyu ni mwizi na amemwambia mimi ni mwizi na niliua wakati nimeenda kuiba lakini mwanasheria atamtetea kuwa hajaiba, huko si ni kusema uongo"
Binafsi nikakumbuka yesu alipoomba sarafu ya fedha na kuwaonesha wale wakuu wa makuhani
"Sarafu hii ya fedha ina sura ya nani" wakajibu "Kaisari" kisha akawajibu "Basi ya kaisari mpeni kaisari ya Mungu mpeni Mungu"
Lakini naleta kwenu hili jambo je ni liwaza sawa au ndio kama hawa wasukumu wako sawa
Leo nikiwa katika kivuko kutoka mwanza kwenda ukerewe nikiwa nimekaa siti moja na wasukuma hawa walikuwa wakiulizana kuwa hivi kuna sababu mwanasheria kumuomba Mungu na kusali? Wanasheria wanaweza kuiona mbingu?
Sikuwa nimewaelewa kwa sababu sikujua point yao unalenda wapi, walipokuwa wakiendelea na mazungumzo ndipo nikawaelewa kuwa
"Kwa sababu mwanasheria anajua kabisa huyu ni mwizi na amemwambia mimi ni mwizi na niliua wakati nimeenda kuiba lakini mwanasheria atamtetea kuwa hajaiba, huko si ni kusema uongo"
Binafsi nikakumbuka yesu alipoomba sarafu ya fedha na kuwaonesha wale wakuu wa makuhani
"Sarafu hii ya fedha ina sura ya nani" wakajibu "Kaisari" kisha akawajibu "Basi ya kaisari mpeni kaisari ya Mungu mpeni Mungu"
Lakini naleta kwenu hili jambo je ni liwaza sawa au ndio kama hawa wasukumu wako sawa