Kapilipoint
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 381
- 343
Kuna mtu tunabishana kuwa ukipatikana na hatia na Mahakama ikakupa ADHABU na baada ya muda fulahi ukapata msamaha Wa Mh .Rais ni kwamba utakuwa Huru ila ile hatia ya Mahakama itaendelea Kubaki kwenye kumbukumbu.Mwingine akasema Msamaha unafuta ile hatia ya Mahakama.Je Kwa mujibu Wa Sheria usahihi ni Upi?