Kama nchi tunaendelea kulumbana kuhusu Covid-19. Hatujapata muafaka bado na tuna makundi mawili makubwa.
Kuna mambo ambayo yanaendelea lakini ni kwa kipindi kifupi na kwa gharama kubwa ya maumivu na mateso kwa watu.
Serikali itusaidie kwa kutueleza haya kwa uwazi kabisa.
Kuna mambo ambayo yanaendelea lakini ni kwa kipindi kifupi na kwa gharama kubwa ya maumivu na mateso kwa watu.
- Hakuna kiongozi mkuu ambaye amesimama na kukiri ya kuwa Corona ipo. Wote wanazunguka na kuzungumza kwa "soft tone" as if wanapeleka barua ya posa.
- Pamekuwa na ongezeko kubwa la uhamasishaji wa matumizi ya tiba mbadala huku watu wakiibua terminology mpya (mkurugenzi wa NIMR" anasema tiba lishe, kuna wanaosema dawa). Huko Mtwara Mkuu wa mkoa anataka kuandikisha watu wenye uwezo wa kutibu "changamoto za upumuaji.
- Naibu waziri wa Afya anashindwa kuwajibu WHO kuhusu takwimu za Corona anaishia katika "kuchakata na ku digest". Huyu ni mwanasayansi ambaye imani yake katika takwimu ina walakini kidogo.
Serikali itusaidie kwa kutueleza haya kwa uwazi kabisa.
- Kama kuna corona itamke wazi na kwa sauti inayotakiwa na kusimamia mapambano hayo kwa nguvu zote.
- Kama hakuna corona itamke wazi na isimamie watu kujikinga ili isiingie nchini kwetu