WANASIASA na WANASHERIA: JE Rasimu SI IMEKIUKA SHERIA ya KATIBA 2013 KUHUSU MUUNGANO

WANASIASA na WANASHERIA: JE Rasimu SI IMEKIUKA SHERIA ya KATIBA 2013 KUHUSU MUUNGANO

mshumbue-soi

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2013
Posts
1,842
Reaction score
1,148
Heshima kwenu.

Sheria inayosimamia mchakato wa katiba mpya imetamka wazi kati ya mambo ya KULINDA ni MUUNGANO,

Lakini Rasimu inapendekeza Serikali mbili zenye mamlaka kamili ambazo zinataka kuunda Shirikisho.

Hivyo kusababisha aina nyingine ya Muungano wa Shirikisho jambo ambalo limekatazwa na Sheria.

Jamani Wanasiasa, Wanasheria, Wajumbe wa Tume, Rais, Waumini wa Muungano Uliopo na Wana Jf bila kusahau Watanzania Bara na Visiwani au Watanganyika na Watu wa Zanzibar (Wana Jamhuri ya Muungano wa Tanzania).

Kwa rasimu ya Tume kutamka Muungano wa Shirikisho(Federation) ni matokeo ya nchi mbili kuzirejeshea kwanza mamlaka kamili ili ziungane kwa mfumo mpya.

Wakati kazi ya tume kwa mujibu wa sheria ilikuwa kulinda Muungano uliopo ambao sio wa shirikisho au wa mkataba.

Hivyo Tume imekiuka Sheria kuja na mapendekezo wa mfumo mpya wa Muungano licha ya kukiuka mapendekezo ya CCM kukiuka Sheria si kuondoa uhalali wa tume na mchakato wenyewe?

Naomba Mwongozo kwa mujibu wa Sheria mambo ya kulinda
 
Heshima kwenu.

Sheria inayosimamia mchakato wa katiba mpya imetamka wazi kati ya mambo ya KULINDA ni MUUNGANO,

Lakini Rasimu inapendekeza Serikali mbili zenye mamlaka kamili ambazo zinataka kuunda Shirikisho.

Hivyo kusababisha aina nyingine ya Muungano wa Shirikisho jambo ambalo limekatazwa na Sheria.

Jamani Wanasiasa, Wanasheria, Wajumbe wa Tume, Rais, Waumini wa Muungano Uliopo na Wana Jf bila kusahau Watanzania Bara na Visiwani au Watanganyika na Watu wa Zanzibar (Wana Jamhuri ya Muungano wa Tanzania).

Kwa rasimu ya Tume kutamka Muungano wa Shirikisho(Federation) ni matokeo ya nchi mbili kuzirejeshea kwanza mamlaka kamili ili ziungane kwa mfumo mpya.

Wakati kazi ya tume kwa mujibu wa sheria ilikuwa kulinda Muungano uliopo ambao sio wa shirikisho au wa mkataba.

Hivyo Tume imekiuka Sheria kuja na mapendekezo wa mfumo mpya wa Muungano licha ya kukiuka mapendekezo ya CCM kukiuka Sheria si kuondoa uhalali wa tume na mchakato wenyewe?

Naomba Mwongozo kwa mujibu wa Sheria mambo ya kulinda

mkuu inategemea unauangalia muungano kwa kutumia angle gani? wengine wanasema serikali 2 ni kuimarisha muungano na wengine wanasema serikali 3 ndio kuimarisha muungano.
kwa mtanzamo wangu mimi ni vizuri tuwe serikali 3 kwa sababu tutakuwa na serikali yetu ya Tanganyika ambayo ilikuwa ndani ya serikali ya Muungano. na katika hayo mambo saba ya muunagno inabidi iwekwe miaka ya wazi kuwa jambo linaanzia wapi na mwisho wake ni wapi? kwa sababu muunagano tulionao hivi leo kuna shida ya kujua mipaka ya mambo ya muungano.
 
mkuu inategemea unauangalia muungano kwa kutumia angle gani? wengine wanasema serikali 2 ni kuimarisha muungano na wengine wanasema serikali 3 ndio kuimarisha muungano.
kwa mtanzamo wangu mimi ni vizuri tuwe serikali 3 kwa sababu tutakuwa na serikali yetu ya Tanganyika ambayo ilikuwa ndani ya serikali ya Muungano. na katika hayo mambo saba ya muunagno inabidi iwekwe miaka ya wazi kuwa jambo linaanzia wapi na mwisho wake ni wapi? kwa sababu muunagano tulionao hivi leo kuna shida ya kujua mipaka ya mambo ya muungano.
hivi wewe unataka kumuuzi nyerere alipolala? muulize mwenzako Njelu Kasaka!!!
 
mkuu inategemea unauangalia muungano kwa kutumia angle gani? wengine wanasema serikali 2 ni kuimarisha muungano na wengine wanasema serikali 3 ndio kuimarisha muungano.
kwa mtanzamo wangu mimi ni vizuri tuwe serikali 3 kwa sababu tutakuwa na serikali yetu ya Tanganyika ambayo ilikuwa ndani ya serikali ya Muungano. na katika hayo mambo saba ya muunagno inabidi iwekwe miaka ya wazi kuwa jambo linaanzia wapi na mwisho wake ni wapi? kwa sababu muunagano tulionao hivi leo kuna shida ya kujua mipaka ya mambo ya muungano.
Serikari moja inatosha yaani Rais mmoja na makamu wake akae Dodoma Bara atawale Gavana na Zenji atawale gavana huu Ndio muungano Digtal ambao huwa hauna kero za muungano lakini tuking'ang'ania muungano Analogues wa Serikari 2 au 3 bado kero za muungano zitakuwepo hazitakwisha utabakia Kuwa muungano Ghali wenye kuendeshwa kwa Gharama kubwa kuliko miungano yote Duniani kumbuka Nyerere aliasisi Muungano akitegemea muungano utakuwa ukijibadilisha kulingana na wakati lakini imekuwa kinyume kabsa muungano Umeng'ang'ania sera zile zile za 1964 matokeo yake Wizara ya Muungano inapewa Bajeti kubwa na pesa hazisaidii kumaliza kero za muungano Serikari moja tu Ndio jawabu wala si vinginevyo Mfano kule USA kuna majimbo 52 yaani Nchi 52 zinaongozwa na magavana Rais ni mmoja tu iweje sisi tumeshwindwa ?
 
Zenji atawale gavana na Bara atawale gavana au waziri Mkuu Kama ilivyo UK na USA kisha Rais anakuwa Mmoja tu na makamu wake makazi Yao yawe Dodoma hapo serikari moja itatosha kabsa
 
Hakuna sheria iliyovunjwa hapo, mfumo wa serikali 3 ni kuuimarisha muungano na si kuuvunja!

je unajua muungano wetu kwa mujibu wa sheria ni wa muundogani, serikali na mkataba wake ukoje. serikali 3 ni muungano wa 2013 sio wa 1964 utakuwa umekufa
 
Back
Top Bottom