amongidion
Member
- Jun 9, 2021
- 76
- 111
Hivi hili suala la Katiba mpya mbona Kama viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani pamoja na mzee jaji mstaafu Warioba ndo Kama wao wanaliongelea ili hali mtaani huku wananchi wa kawaida ni Kama hawana mwamko nalo na hata hawasikiki wakiliongelea……[emoji1607][emoji1607]