Wanasiasa Wachumia Matumbo, na Siasa za kutekwa na Mkumbo. Pole Tz yangu

Wanasiasa Wachumia Matumbo, na Siasa za kutekwa na Mkumbo. Pole Tz yangu

Kaka Pekee

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2018
Posts
336
Reaction score
564
What goes arround comes arround...Wanasiasa hatukuwasikia kutoa tamko la pamoja ktk sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii,sasa hv hii sheria ya Vyama vya Siasa tunasikia wamekutana ili kupata tamko la pamoja.

Sasa mbona km wanajiwakilisha wao?..na km wanatuwakilisha sisi mbona hatukusikia tamko la pamoja ktk ile sheria ya Kikokotoo.
Tunajiuliza km hawakuweza kuzuia sheria hii ya mifuko ya hifadhi ya jamii kupita je,wataweza kuzuia muswada huu wa sheria za vyama vya siasa kupita?

Kiukweli wananchi wengi tunaamini muswada utapita na tunaombea upite ili wote tuonje haya machungu ya mabadiliko ya sheria hizi.

Ushwauri ni kwamba Wabunge wetu tukumbukeni tuliowapigia kura,msitutumie tu pale mnapotaka kura,kuandamana au mkiwekwa Lumande.

Kwa hali hii tutashindwa kujenga nchi kwa pamoja.Tujikosoe km mwalimu Julius K. Nyerere alivyojikosoa km kweli tunataka kumuenzi muasisi na Baba wa Taifa letu la Tanzania.

Na hizi ndizo falsafa za mjukuu wa Mtoro.

Mtorojr.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
Hahaaaaa; uchochezi huo, so far you are legaly flare hukusema watumishi wa nchi gani mkuu?
 
What goes arround comes arround...Wanasiasa hatukuwasikia kutoa tamko la pamoja ktk sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii,sasa hv hii sheria ya Vyama vya Siasa tunasikia wamekutana ili kupata tamko la pamoja.

Sasa mbona km wanajiwakilisha wao?..na km wanatuwakilisha sisi mbona hatukusikia tamko la pamoja ktk ile sheria ya Kikokotoo.
Tunajiuliza km hawakuweza kuzuia sheria hii ya mifuko ya hifadhi ya jamii kupita je,wataweza kuzuia muswada huu wa sheria za vyama vya siasa kupita?

Kiukweli wananchi wengi tunaamini muswada utapita na tunaombea upite ili wote tuonje haya machungu ya mabadiliko ya sheria hizi.

Ushwauri ni kwamba Wabunge wetu tukumbukeni tuliowapigia kura,msitutumie tu pale mnapotaka kura,kuandamana au mkiwekwa Lumande.

Kwa hali hii tutashindwa kujenga nchi kwa pamoja.Tujikosoe km mwalimu Julius K. Nyerere alivyojikosoa km kweli tunataka kumuenzi muasisi na Baba wa Taifa letu la Tanzania.

Na hizi ndizo falsafa za mjukuu wa Mtoro.

Mtorojr.
Ni vyema kunyamaza Kama hujui! Hujui na hujui Kama hujui!
 
Wanasiasa wote ni bootlickers wakiwa ndani ya system inayotawala wanabweka kwa ukali wanapewa achwa au wakiwa upande tofauti!
 
What goes arround comes arround...Wanasiasa hatukuwasikia kutoa tamko la pamoja ktk sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii,sasa hv hii sheria ya Vyama vya Siasa tunasikia wamekutana ili kupata tamko la pamoja.

Sasa mbona km wanajiwakilisha wao?..na km wanatuwakilisha sisi mbona hatukusikia tamko la pamoja ktk ile sheria ya Kikokotoo.
Tunajiuliza km hawakuweza kuzuia sheria hii ya mifuko ya hifadhi ya jamii kupita je,wataweza kuzuia muswada huu wa sheria za vyama vya siasa kupita?

Kiukweli wananchi wengi tunaamini muswada utapita na tunaombea upite ili wote tuonje haya machungu ya mabadiliko ya sheria hizi.

Ushwauri ni kwamba Wabunge wetu tukumbukeni tuliowapigia kura,msitutumie tu pale mnapotaka kura,kuandamana au mkiwekwa Lumande.

Kwa hali hii tutashindwa kujenga nchi kwa pamoja.Tujikosoe km mwalimu Julius K. Nyerere alivyojikosoa km kweli tunataka kumuenzi muasisi na Baba wa Taifa letu la Tanzania.

Na hizi ndizo falsafa za mjukuu wa Mtoro.

Mtorojr.
Ccm umewasikia au umekuja na kimbelembele bila kujua wauaji wenzio hawajatoa hata tamko la kujikosha? Kuhusu mafao tumemsikia Waziri Kivuli wlanayeshughulika na masuala ya kazi Mh. Sana Esther Bulaya akiongea kwa niaba ya upinzani na akaungwa mkono na Spika Ndugai.
 
What goes arround comes arround...Wanasiasa hatukuwasikia kutoa tamko la pamoja ktk sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii,sasa hv hii sheria ya Vyama vya Siasa tunasikia wamekutana ili kupata tamko la pamoja.

Sasa mbona km wanajiwakilisha wao?..na km wanatuwakilisha sisi mbona hatukusikia tamko la pamoja ktk ile sheria ya Kikokotoo.
Tunajiuliza km hawakuweza kuzuia sheria hii ya mifuko ya hifadhi ya jamii kupita je,wataweza kuzuia muswada huu wa sheria za vyama vya siasa kupita?

Kiukweli wananchi wengi tunaamini muswada utapita na tunaombea upite ili wote tuonje haya machungu ya mabadiliko ya sheria hizi.

Ushwauri ni kwamba Wabunge wetu tukumbukeni tuliowapigia kura,msitutumie tu pale mnapotaka kura,kuandamana au mkiwekwa Lumande.

Kwa hali hii tutashindwa kujenga nchi kwa pamoja.Tujikosoe km mwalimu Julius K. Nyerere alivyojikosoa km kweli tunataka kumuenzi muasisi na Baba wa Taifa letu la Tanzania.

Na hizi ndizo falsafa za mjukuu wa Mtoro.

Mtorojr.
Kuna mzee mmoja anesema hivi siku yakia ama baada ya shetani atakae fuata kuchomwa Moto ni mwanasiasa.
 
Back
Top Bottom