johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tumeshuhudia kwa mfano akina Halima Mdee na wenzake Rufaa yao imechukua zaidi ya Mwaka mmoja kuweza kusikilizwa na Baraza Kuu
Sasa hii ni Katiba ya namna gani inayominya utoaji wa Haki kwa Wakati?
Kiukweli Wanasiasa watavuruga tu mchakato wa Katiba Mpya
Jumaa kareem!
Sasa hii ni Katiba ya namna gani inayominya utoaji wa Haki kwa Wakati?
Kiukweli Wanasiasa watavuruga tu mchakato wa Katiba Mpya
Jumaa kareem!