Pre GE2025 Wanasiasa wanalikwepa suala la ukosefu wa ajira kwa watanzania, Je uchaguzi huu wa 2025 utawafungua macho vijana?

Pre GE2025 Wanasiasa wanalikwepa suala la ukosefu wa ajira kwa watanzania, Je uchaguzi huu wa 2025 utawafungua macho vijana?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Kwanza hii ndiyo unapaswa kuwa ajenga muhimu kwa wagombea wote. Katika mambo ambayo serikali imeamua kuyakwepa kwa namna ya kuziba masikio ni hili suala la ajira kwa wahitimu mbalimbali, hii ni ishara kuwa taifa limekwama pakubwa sana.

Miaka zaidi ya kumi Bado hakuna ubunifu wa ajira na shughuli binafsi zinazoibuliwa na serikali kuhamasisha maendeleo ya sekta binafsi na za umma.

Matumizi yasiyo na tija kwa pesa za umma ni kichocheo kikubwa pia kwa ukosefu wa ajira kwa vijana. Serikali inatakiwa Sasa kuja na mipango mikakati na njia za kulikabiri tatizo hili kuu.
 
Vijana nao ni janga janga kubwa. Eti kuwa chawa wa ccm ndio wanaona ni fashion
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Wakati nchi zote.za nje wagombea wanakimbilia kutoa takwimu.za.ajira. na ukisikiliza habari za uchumi kila siku.wanaongelea employment rate. New employment. Huku ni.michongo tuu kama mpina anavyosema
 
Fisiem ni fisiem TU. Wakati wamemchangia CHURA PESA za kuchukulia 4mu.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Vijana wapi sasa? hawa akina mwijaku omba omba wanaolamba viatu vya wenye hela ili wapate kula?
 
Back
Top Bottom