Wanasiasa waponzwa na Uongo wao.

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,656
Wanasiasa 10 walipata ajali mbaya alitokea mkulima mmoja alichimba shimo na kuwazika, Polisi walikuja na kuanza kumhoji;

Polisi:Uliona ajali?
Mkulima:Hapana, nilikuta imeshatokea na maiti zimezagaa.
Polisi:Zipo wapi maiti?
Mkulima:Nimezizika.
Polisi:Una uhakika wote wamekufa?
Mkulima:Kuna wengine walikuwa wanalalamika kwamba hawajafa lakini si unajua wanasiasa walivyo waongo! mimi nikajua tu wanadanganya nikawazika wote...
 
ha ha ha - Mzee hii kali. Wanasiasa wana kazi kweli kweli.
 
Huyo alikuwa na kisasi na wanasiasa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…