Kuna ka ukweli maana hata Winston Churchill alikuwa chini katika elimu ya darasani
Ila uwezo wa darasani sio ndio akili pekee maishani.
Kufanikiwa kimaisha kunahitaji vitu vingi zaidi ya akili za darasani
Hao wote ni wanasiasa ila sio wanasiasa waliofanikiwa.Walifanikiwa katika fani zao za ualimumfan: Mark mwandosya au muhongo wote hao walikuwa hawajiwezi darasan?
Hao wote ni wanasiasa ila sio wanasiasa waliofanikiwa.Walifanikiwa katika fani zao za ualimu