NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Katika pita pita zangu katika vijiwe vya kahawa vijiwe nongwa pamoja na vijiwe vya vya kidigital vinavyotaka timu ishinde tu hata Kama haina uwezi lakini mashabiki hawalijui Hilo.
Nimepatwa na gadhabu baada yakuona kila shabiki lialia wa simba akirusha mawe kwa beki kitasa joash onyango nakudai kuwa yeye ndiyo tatizo na ndiyo maana tunafungwa eti kwa sababu tu ya penati alizosababisa kwe michezo miwili dhidi ya raja Casablanca.
Nakataa nakupinga lawama zote kumuangushia beki joash onyango, mpira ni mchezo wa wazi, mpira ni mchezo wa makosa yaani "one mistake one goal' that is football.
Nilitazama mechi ya simba vs Casablanca kiukweli hakuna mchezaji aliyeleta matumaini, mtazame shomari kapombe alivyokua akipata tabu dhidi ya mawinga wa Casablanca,
Mtazame mchezaji mahili na tegemezi chama alivyofichwa na viungo wakabaji wa Casablanca.
Tazama viungo wa Kati wa simba namba name na namba sita, je mliyaona makosa yao pale Kati???
Je mliona namna gani inonga alivyokua anavuja dhidi ya mawinga mpaka wanapata nafasi yakumfikia kipa manura ??
Ngoja tutoe hayo magoli mawili ya penati aliyoyasababisa joash onyango Kama msemavyo, yatabaki magoli manne je hayo yote yamefungwa bila ya makosa ya wachezaji ??
Hatupaswi kumtupia lawama onyango, hatakama benchi la ufundi litaamua kumuweka benchi je ni beki gani anayeweza kujituma na kufiti nafasi ya onyango??
Jibu hakuna,
Niwaombe wanasimba lialia mnapotoa lawama kwa mchezaji mmoja mnakosea lakini pia kumbukeni mlimuita nusu mtu, nusu chuma mkimaanisha ni mwamba haswaa.
Ifikie hatua mkubali kuwa kikosi chenu hakina ubora na siyo mzigo wa lawama mnaanza kumtupia mchezaji mmoja utadhani anacheza peke yake.
Nimeandika Kama mdau wa mpira na so shabiki wa mpira NALIA NGWENA
Nimepatwa na gadhabu baada yakuona kila shabiki lialia wa simba akirusha mawe kwa beki kitasa joash onyango nakudai kuwa yeye ndiyo tatizo na ndiyo maana tunafungwa eti kwa sababu tu ya penati alizosababisa kwe michezo miwili dhidi ya raja Casablanca.
Nakataa nakupinga lawama zote kumuangushia beki joash onyango, mpira ni mchezo wa wazi, mpira ni mchezo wa makosa yaani "one mistake one goal' that is football.
Nilitazama mechi ya simba vs Casablanca kiukweli hakuna mchezaji aliyeleta matumaini, mtazame shomari kapombe alivyokua akipata tabu dhidi ya mawinga wa Casablanca,
Mtazame mchezaji mahili na tegemezi chama alivyofichwa na viungo wakabaji wa Casablanca.
Tazama viungo wa Kati wa simba namba name na namba sita, je mliyaona makosa yao pale Kati???
Je mliona namna gani inonga alivyokua anavuja dhidi ya mawinga mpaka wanapata nafasi yakumfikia kipa manura ??
Ngoja tutoe hayo magoli mawili ya penati aliyoyasababisa joash onyango Kama msemavyo, yatabaki magoli manne je hayo yote yamefungwa bila ya makosa ya wachezaji ??
Hatupaswi kumtupia lawama onyango, hatakama benchi la ufundi litaamua kumuweka benchi je ni beki gani anayeweza kujituma na kufiti nafasi ya onyango??
Jibu hakuna,
Niwaombe wanasimba lialia mnapotoa lawama kwa mchezaji mmoja mnakosea lakini pia kumbukeni mlimuita nusu mtu, nusu chuma mkimaanisha ni mwamba haswaa.
Ifikie hatua mkubali kuwa kikosi chenu hakina ubora na siyo mzigo wa lawama mnaanza kumtupia mchezaji mmoja utadhani anacheza peke yake.
Nimeandika Kama mdau wa mpira na so shabiki wa mpira NALIA NGWENA