Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Acha kulalamika bila kutoa mapendekezo. Je, ungependa kila mchezaji anayetakiwa na Simba atangazwe mapema hadharani bila siri halafu ndio aanze kutafutwa?.... Kwa dunia ya sasa hakuna mchezaji mzuri utampata kwa Siri. Ukiwauliza wanadai usajili wanafanya kwa usiri mkubwa.
Asipoweka yeye mzigo wekeni mashabikiWanasimba niwaibie tu Siri licha ya Mo kutapa kuwa anataka ubingwa wa Africa ili jamaa ni bahili bala...
Jibu kuntu hiloAsipoweka yeye mzigo wekeni mashabiki
wanasimba mbona mnatukana sana kukosa makombe mwaka mmoja tu matusi yote haya je mkipoteza miaka mitano si mtahama nchi?Kama Mo bahiri, basi wewe weka mzigo wasajili.Kama huna hela basi mwambie hata babako aweke mzigo Simba wasajili wachezaji wa gharama. Na kama wewe na babako wote masikini basi tuliza matako acha kubweka kwenye hela za wanaume wenzio..mwisho uolewe mtoto wa kiume!!!!
jamaa punguza jazba!Umeandika huku ukiwa umebanwa kinyesi makalioni.Kanye kwanza ndo utuletee ngonjera zako zisizo na kichwa wala miguu
duh! hizi lughaKama Mo bahiri, basi wewe weka mzigo wasajili.Kama huna hela basi mwambie hata babako aweke mzigo Simba wasajili wachezaji wa gharama. Na kama wewe na babako wote masikini basi tuliza matako acha kubweka kwenye hela za wanaume wenzio..mwisho uolewe mtoto wa kiume!!!!