Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Jumapili kuna mchezo hapo kati ya Dodoma vs yanga sc huu mchezo hakikisheni hawa 🐸 hawaondoki na point tatu.
Tunajua wanafanya kila mbinu kuhakikisha wanapata point tatu, wakishirikiana na mbunge najua mnajua cha kufanya.
Kelele zilikuwa nyingi sana, kwa ushirikiano wetu si mnaona nchi ilivyotulia?
Tunasema hivi bingwa atajulikana mpaka mchezo wa mwisho. Bahati nzuri tuna vijana wetu watatu pale pale kambini kwao.
Tunajua wanafanya kila mbinu kuhakikisha wanapata point tatu, wakishirikiana na mbunge najua mnajua cha kufanya.
Kelele zilikuwa nyingi sana, kwa ushirikiano wetu si mnaona nchi ilivyotulia?
Tunasema hivi bingwa atajulikana mpaka mchezo wa mwisho. Bahati nzuri tuna vijana wetu watatu pale pale kambini kwao.