KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Hakuna kipindi mtu anasema UKWELI kama kipindi ambacho amekasirika, yaani anaweza kutaja michepuko yote mbele ya MUME/MKE wake.Wanasimba tumevurugwa kweli kweli.
Kipindi ambacho tuna hali hiyo hebu jibuni hapa haya maswali ili na mimi mwanasimba (nipate uelewa Niwe na cha kuongea mbele za watu)÷
1. Zile 20B ziliwekwa account gani?
2. Mimi sina imani na Mo nyie wenzangu mmefanywa nini kuendelea kumuamini kiasi hiki?
3. Lini mwisho wa machungu haya (uteja kwa Yanga)mbana kama hamna dalili?
4. Mnadhani hata huyo Manzoki tunayemtaka atapita mwenyewe ule ukuta wa Yanga? Huyo huyo manzoni ndo atamkaba mbaya wetu Mayele?
5.Je mnajua kama kuna adui yetu mkubwa ameongezeka pale mbele AZIZ KI?
YAANI NIMEVURUGWA HASWA
Kipindi ambacho tuna hali hiyo hebu jibuni hapa haya maswali ili na mimi mwanasimba (nipate uelewa Niwe na cha kuongea mbele za watu)÷
1. Zile 20B ziliwekwa account gani?
2. Mimi sina imani na Mo nyie wenzangu mmefanywa nini kuendelea kumuamini kiasi hiki?
3. Lini mwisho wa machungu haya (uteja kwa Yanga)mbana kama hamna dalili?
4. Mnadhani hata huyo Manzoki tunayemtaka atapita mwenyewe ule ukuta wa Yanga? Huyo huyo manzoni ndo atamkaba mbaya wetu Mayele?
5.Je mnajua kama kuna adui yetu mkubwa ameongezeka pale mbele AZIZ KI?
YAANI NIMEVURUGWA HASWA