Jumapili hii ijayo Ligi inaendelea wakati Mwanachama na Mdhamini wa SIMBA SPORTS CLUB, Mpendwa wetu MOO akiwa bado hajapatikana. Chezeni Jihadi USHINDI ndio faraja pekeee kwa wanasimba wote kwa sasa.
LAKINI MMPEJIPANGAJE KUSHANGILIAJE MAGOLI??? Kwa ishara ya Pingu, Kimia kimia, kwa machozi, kikubwa mshangilie kwa staili itakayoenzi Uchungu wa Upotevu wa MOO pls pls.
Nitasikitika kuona mizuka isiyo na ujumbe wa Uchungu kwa kilichomtokea Moo.
Nawatakieni maandalizi mema.
LAKINI MMPEJIPANGAJE KUSHANGILIAJE MAGOLI??? Kwa ishara ya Pingu, Kimia kimia, kwa machozi, kikubwa mshangilie kwa staili itakayoenzi Uchungu wa Upotevu wa MOO pls pls.
Nitasikitika kuona mizuka isiyo na ujumbe wa Uchungu kwa kilichomtokea Moo.
Nawatakieni maandalizi mema.