Wanasimba teka letu la magoli tumepigwa

Wanasimba teka letu la magoli tumepigwa

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wanasimba wenzangu

Nikiwa kama shabiki wa simba kindaki ndaki naumia sana kuona viongozi wetu wakitupiga namna hii..

Haiwezekani watuletee teka bovu kama huyu Fred..!

Hivi si hata pale mtibwa hapati namba huyu?
Mtu mzito kakamaa kama bao la kwanza kitandani jamani hamuoni?

Sasa huyu teka ndio atatupeleka final kweli? Mbona kina mangungu wanazidi kutuonyesha namna walivyo matapeli?

Yaani jana nimelia sana baada ya mechi kwa kweli .
Licha ya huyo kuna yule sarr

Hivi mnatoa wachezaji wavunja kuni nyie viongozi? Tunaoumia ni sisi mashabiki mjue mtu anakimbia anatazama tu chini kama kobe kweli?

Sisi wanasimba ni mbumbumbu toleo la mwisho kabisa ..
 
Back
Top Bottom