Wanasimba tulieni, mkikurupuka na maamuzi ya kiwewe mtaharibikiwa zaidi

Kabisa mtoa mada...huku wakijikumbusha kidogo mchezo huu hauitaji hasira
View attachment 2805528
Oyah, rudi uchukue pesa yako, maana sio kwa show ile.
Fyuuuuuuu, ulinichukulia me ni mwarabu enhee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me sio mla kiepe yai kama Al-ahal, me ni mchimbaji, kila siku ni chepe na sururu, hivyo tano sijabahatisha.
 
Kabisa mtoa mada...huku wakijikumbusha kidogo mchezo huu hauitaji hasira
View attachment 2805528
Oyah, rudi uchukue pesa yako, maana sio kwa show ile.

Fyuuuuuuuuu, ulidhani me ni mwarabu enhee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me sio mla kiepe yai kama Al-ahal, me ni mchimbaji, kila siku ni mwendo wa chepe na suru, hivyo hizo tano sijabahatisha.

Na ungeendelea ningekuchubua mabaja.
 
Ni mbinu tu zimewafunga na Wala msimlaumu Mtu. Sio Kocha, sio wachezaji Wala sio kipa. Ni mbinu tu zilizidiana.

Tulieni, timu sio mbaya. Don't do anything stupid, you will greatly regret.
Naunga mkono hoja yako. Huu uswahili timu ikifungwa kila mtu kuja na theory yake mara uchawi mara kuna watu wameuza timu ni ujinga tu. Tukubali kuwa hatukuwa na siku nzuri na wenzetu walikuwa na siku nzuri wakayatumia makosa yetu kutuadhibu. Lawama hizi ambazo hazina hata chembe ya ushahidi zitaivuruga Simba vibaya sana. Wachezaji wanaotuhumiwa watakosa kujiamini na kuaminiwa,viongozi wanaotuhumiwa nao hawatajiamini na hawataaminiwa,jee nini kinafuata na hii ni ligi? Ingekuwa ni mtoano kuwa tumeshatolewa basi hata tungevurugana ili kujipanga kwa msimu ujao lakini ligi bado mbichi mnategemea kupata wapi wachezaji wa ku replace hao wanaodaiwa kupokea miamala? Mimi naona wanaotoa tuhuma hizi ndiyo maadui wakubwa wa Simba kwani wanaivuruga timu ishindwe kufanya vizuri. Mbona yanga walivyofumuliwa na Ihefu walitulia na wanaendelea kufanya vizuri. Huu ujuahi wa kishamba ndiyo unaiangamiza Simba.
 
Wasipojiangalia mchezo unaokuja wanapoteza. Watu wakifungwa kwenye ligi wanajitafuta kuhakikisha wanashinda michezo iliyoko mbele yao. Wakianza kusutana na kushutumiana watapigwa kama ngoma na ubingwa watausikia tu.
 
Kuna ya 4 kwa 0 pia hapo haipo...
Ingia kwny kumbukumbu google mtani..
Hatuangalii silaha ya malipizi hata kama ni karne ya 19 tuna rewind...
🀣
Ilikuwa ni kabla ya hiki kipigo cha 9 bila? Au hapa nitakuwa nimerudi nyuma sana? Maana baada kugugo ndio ikaja hii record πŸ˜…πŸ˜…
 

Attachments

  • Screenshot_20231107-110101.png
    113.9 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…