Wanasimba tuungane kumtafuta Mo

Wanasimba tuungane kumtafuta Mo

Mtetezi.com

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
3,134
Reaction score
3,584
Mpaka mda huu hajapatikana na mimi kama mkereketwa wa Simba na Amani kwa ujumla niwasihi wanasimba popote mlipo iwe vyombo vya usalama, ofisi za uma, michezoni, nje ya mipaka, ndani ya mipaka na sisi wanasimba tulio ndani ya mamlaka bila kuogopa chochote tupigane Mo apatikane akiwa mzima Inshaalah.
 
Mpaka mda huu hajapatikana na mimi kama mkereketwa wa Simba na Amani kwa ujumla niwasihi wanasimba popote mlipo iwe vyombo vya usalama, ofisi za uma, michezoni, nje ya mipaka, ndani ya mipaka na sisi wanasimba tulio ndani ya mamlaka bila kuogopa chochote tupigane Mo apatikane akiwa mzima Inshaalah.
Tuanze kupigana tena mkuu? Tushaambiwa tuwaachie polisi hayo mengine unayoyatafuta siyo afya.
 
Atapatikana Bila Shaka. Police Wetu Wako Vizuri.
 
Tusichoke kupaza sauti zetu Bring back our Mo, Bring back our Mo, Bring back our Mo
 
Mola wetu tunaye mtumaini atamfanyia wapesi na tutakuwa nae inshallah
 
Msemaji wa Simba H manara amesema tuwaachie vyombo vya dola, mkuu wa mkoa amesema anaamini atapatikana akiwa mzima, lkn kama ikitokea sehemu ulipo ukaona kama hapaeleweki unaweza kutoa taarifa
 
Kweli jitahidini kumtafuta maana bila yeye mtakuwa wa kumi na nane wala si muda mwingi
 
Nimekaba hapa mpakani mwa malawi nahakikisha gari halipiti lolote bila kukagua kama mo yupo ama hayupo nitawajuza
 
Wakifika hapo mwenyewe utapisha tu.Eti mie nimekaba huku mpakani Nyoo
 
Naunga mkono hoja. Kila mtu kwa imani yake amuombee Mo apatikane salama na wale wazee wa kuangalia matukio kwenye karai lenye maji watusaidie kumtafuta.
 
Msemaji wa Simba H manara amesema tuwaachie vyombo vya dola, mkuu wa mkoa amesema anaamini atapatikana akiwa mzima, lkn kama ikitokea sehemu ulipo ukaona kama hapaeleweki unaweza kutoa taarifa

Ni kweli mkuu
 
Back
Top Bottom