Wanasimba waanza kumlaumu GSM anaharibu ligi ya mabingwa CAF Champions League

Wanasimba waanza kumlaumu GSM anaharibu ligi ya mabingwa CAF Champions League

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Baada ya Al hilal ya ibenge kula kichapo kizito kutoka Kwa mabingwa wa kihistoria young Africans

Wanasimba wameandamana kwenye vyombo vya habari plus mitandaoni wakimtuhumu GSM Kwamba ameanza kuharibu ligi ya mabingwa Baadaya kuonekana kumshawishi ibenge aibebe Yanga

Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Je hizi lawana za makolo zitaishia wapi ?????.... it's unprofessional Kwa makolo
Screenshot_20250113-165909.jpg
 
Toa ushahidi , au ndio yale ya utani wa kishamba
 
Baada ya Al hilal ya ibenge kula kichapo kizito kutoka Kwa mabingwa wa kihistoria young Africans

Wanasimba wameandamana kwenye vyombo vya habari plus mitandaoni wakimtuhumu GSM Kwamba ameanza kuharibu ligi ya mabingwa Baadaya kuonekana kumshawishi ibenge aibebe Yanga

Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Je hizi lawana za makolo zitaishia wapi ?????.... it's unprofessional Kwa makoloView attachment 3200931
Wale jamaa Mimi niliwadharau siku nyingi baada ya kuletewa manzoki kwenye uchaguzi wa viongozi wao kisha wakapiga makofi ndipo nilipojua mangungu alikuwa sahihi kukataa kujiuzulu,,
 
Back
Top Bottom