Wanasimba wenzangu kwa mazingira yaliyoonekana Leo uwanja wa KMC kwa mtu mzima kubebwa dhahiri shahiri tusiwe sana na mategemeo ya ubingwa

Wanasimba wenzangu kwa mazingira yaliyoonekana Leo uwanja wa KMC kwa mtu mzima kubebwa dhahiri shahiri tusiwe sana na mategemeo ya ubingwa

Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Sidhani kama kwa haya niliyoyaona Leo maana baada ya mpira kwisha stori zilikuwa nyingi sana baina ya Rais wao na wachezaji wa Black Stars, walikuwa wanafurahia vituko vya uswahilini.Mara Rais yuko na JOnathan, mara Yuko na Ayoub Lyanga, mara anaonekana akiwa na Arthur yaani ni full maongezi na Raha.

Leo nimethibitisha dhahiri shahiri kuwa Simba kubebwa ubingwa sio KAZI ndogo, Sasa hivi wameshaingia kwenye mfumo wa viporo tayari, Kuna timu zimeandaliwa kumharibia kabisa mnyama, timu yetu ni kama yatima, inachukiwa mno na baadhi ya timu kwa sababu ya mafanikio kimataifa.

Leo walikuwa wanaachwa kwa pointi nyingi lakini wamefanya mambo ya kitoto sana, this is totally match fixing.Kwa hali hii sitolalamika Tena Simba akiangusha pointi ama akikosa ubingwa msimu huu, nimeshajiandaa kisaikolojia.
 
nyau bwana msha anza kuimba kibwagizo chenu cha GSM

leo hii unaogopa viporo umesahau umewahi kuwa na viporo 8 (ni maajabu tena viporo hadi na timu zilizo kuwa tayari zimeshuka daraja wala hamkulalamika upangaji wa matokeo)

kwamba mpira ni uadui haitakiwi kucheka baada ya mchezo

au unataka ligi irudi enzi za ukata mnaitumia nauli costal unioni inafika dar asubuhi jioni mechi na mnaipiga 7 mnashangilia sana
 
WANAMAKOLO WENGI WANAAMINI KUWA TIMU ZINGNE HAZNA HAKI YA KUFUNGWA NA YANGA KAMA WAO WANAVYOFUNGWA!
JAMANII EE, YANGA ANAYO HAKI YA KUZIFUNGA TIMU ZINGNE KAMA ANAVYO WAFUNGA MAKOLO, ACHENI WIVU
 
Sidhani kama kwa haya niliyoyaona Leo maana baada ya mpira kwisha stori zilikuwa nyingi sana baina ya Rais wao na wachezaji wa Black Stars, walikuwa wanafurahia vituko vya uswahilini.Mara Rais yuko na JOnathan, mara Yuko na Ayoub Lyanga, mara anaonekana akiwa na Arthur yaani ni full maongezi na Raha.

Leo nimethibitisha dhahiri shahiri kuwa Simba kubebwa ubingwa sio KAZI ndogo, Sasa hivi wameshaingia kwenye mfumo wa viporo tayari, Kuna timu zimeandaliwa kumharibia kabisa mnyama, timu yetu ni kama yatima, inachukiwa mno na baadhi ya timu kwa sababu ya mafanikio kimataifa.

Leo walikuwa wanaachwa kwa pointi nyingi lakini wamefanya mambo ya kitoto sana, this is totally match fixing.Kwa hali hii sitolalamika Tena Simba akiangusha pointi ama akikosa ubingwa msimu huu, nimeshajiandaa kisaikolojia.
Umetumwa wewe 😹😹😹
 
Ndio maana tumekuja na ubaya ubwela hatutaki kusikia vilio mnashinda kwa penati Kila mtu ashinde mechi zake.
 
SIMBA LAZIMA ISINYE WACHEZAJI WA MAANA NDIPO ITACHUKUA UBINGWA.

Kuwa na wachezaji kama.

1. Mutale.
2. Okejepha.
3 karabou chamoe.
4 Steven Mukwara.
5. Nouma

HAWA WACHEZAJI HAWAWEZZI KUISAIDIA CHOCHOTE SIMBA.
 
Sidhani kama kwa haya niliyoyaona Leo maana baada ya mpira kwisha stori zilikuwa nyingi sana baina ya Rais wao na wachezaji wa Black Stars, walikuwa wanafurahia vituko vya uswahilini.Mara Rais yuko na JOnathan, mara Yuko na Ayoub Lyanga, mara anaonekana akiwa na Arthur yaani ni full maongezi na Raha.

Leo nimethibitisha dhahiri shahiri kuwa Simba kubebwa ubingwa sio KAZI ndogo, Sasa hivi wameshaingia kwenye mfumo wa viporo tayari, Kuna timu zimeandaliwa kumharibia kabisa mnyama, timu yetu ni kama yatima, inachukiwa mno na baadhi ya timu kwa sababu ya mafanikio kimataifa.

Leo walikuwa wanaachwa kwa pointi nyingi lakini wamefanya mambo ya kitoto sana, this is totally match fixing.Kwa hali hii sitolalamika Tena Simba akiangusha pointi ama akikosa ubingwa msimu huu, nimeshajiandaa kisaikolojia.
Mpira sio uadui ndugu yangu.
 
GSM anaibaka ligi yetu hadharani, aibu kubwa hii TFF na Bodi ya ligi wanakenua tu
 
Jana kuna kiongozi kaingia uwanjani baada ya mechi kinyume na kanuni ya 17 inayopiga marufuku viongozi au watazamaji kuingia kwenye pitch kabla na baada ya mechi.
Bodi ya Ligi kazi kwenu pesa za bure hizo.
 
Back
Top Bottom