Ishu sio matokeo,angalia maamuzi ya marefa na spirit ya wachezaji
Yanga na singida wachezaji wa singida walikuwa wanaumwa ebola jinsi walivyolegea.
Simba na ruvu angalia kipa wao alivyodaka angalia timu ilovyocheza japo walifungwa
Utopolo wenye akili wawili tu