Wanasoka wenye uwezo wa kawaida ila walibebwa na mafanikio ya timu zao

Waswahili hatukosagi maneno...Hata baada ya yeye kuondoka kwenda Qatar Messi alizidi kushine. Messi ni kipaji bwana wala sio mtu wa mazoezi kama wengine
sijakataa hilo ni kipaji sana lakini kuna wakati mtu unaona pia alibebwa na watu japo nakiri messi ni kiboko,na wewe acha uswahili wako na ukiri pia kuna watu walichangia kumng'arisha.
 
Halafu na ndiyo mchezaji aliyekuwa anataka kuwa karibu na kombe kuwazidi hata wachezaji waliolitolea jasho kombe lenyewe. Ni kweli mpira unachezwa na timu nzima kwa kutegemeana LAKINI ni kweli pia kwamba kuna majukumu fulani huwa yamekasimishwa kwa mchezaji wa nafasi fulani. Pamoja na mabeki kuwapo lakini golikipa anatakiwa kuhakikisha mpira hauingii gorini. Straika ni kufunga. Sasa huyo Giroud mechi saba bila shuti lolote la kulenga gori achana na kupata gori lolote. Sawa alipangwa mechi zote, hiyo ndo bahati inayoongelewa hapa.
 
Torres kabeba makombe makubwa barani ulaya
world cup. uefa. EPL. Europa la Liga nk
 
Tores na Reina - ndani ya Spain
Valdes, Etoo, Keita na Abidal - Barcelona
Boateng Buyern & Germany
Gilberto Silva - Brazil
Pogba - France
 
Tores na Reina - ndani ya Spain
Valdes, Etoo, Keita na Abidal - Barcelona
Boateng Buyern & Germany
Gilberto Silva - Brazil
Pogba - France
Hujamtendea haki Pogba
 
Varane wa Real Madrid na raia wa ufaransa huyu beki naye ana bahati ila uwezo wake wa kawaida tu ingawa kabeba makombe kama CL na World Cup.
 
lione hili linesi
 
Hapo kwa Valdes hapana aisee, timu imeshinda mataji mengi akiwa golini unasemaje mbovu. Kwa hiyo kwa mtazamo wako Hata wewe ungeweza kudaka na Barca wakachukua makombe kibao.
 
Huyo hapo madevu [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…