Wanataka 150,000/= ili nipate hati ya nyumba

Wanataka 150,000/= ili nipate hati ya nyumba

Mmea Jr

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2016
Posts
798
Reaction score
1,871
NDEFU KIDOGO

Habari zenu wakuu , nadhani wote tunalikumbuka vizuri lile zoezi la urasimishaji liloanza chini ya raisi wa awamu ya tano marehemu jpm . Ukiachilia mbali changamoto zake , moja ya mambo ambayo mimi kama raia nilifurahia ni jinsi ambavyo wananchi tuliweza kujua hatua kwa hatua juu ya mchakato mzima wa urasimishaji wa ardhi na makazi kwa kupitia mikutano mbali mbali ya mitaa ambayo alianzishwa kwa lengo lakumjuza mwananchi nini kinatakiwa .

Nakumbuka vizuri hatua ya kwanza ni ilikuwa ni kuandaa mkutano ambao uliwashirikisha pia maafisa ardhi ambao walitupa elimu nzuri kabisa juu ya faida ya kupimiwa maeneo yetu namna ya upimaji utakavyokuwa lakini pia hata gharama za upimaji , hakika ilikuwa ni mkutano mizuri sana , afisa ardhi alisema kila " mwananchi atatakiwa atoe kiasi cha sh 150, 000/= tu kwani kiasi kingine serikali yetu pendwa ilikuwa imetusaidia katika kukilipa " hakika tulipaga makofi ndelemo na vifijo juu ya taarifa hii nzuri aliyotolewa na bwana àrdhi yule . Baada ya hapo tulipimiwa maeneo yetu ikifatiwa na usimikwaji wa bicon ( bikoni ) na kuna form ambayo ilitakiwa kila mtu ampatie jirani yake aliyepakana naye aiweke sahihi ili kujiridhisha kuwa bicon zilizowekwa mipakani ziwekwa sahihi kabisa . Ikimbukwe michakato hii yote ilihusisha mikutano ya hadhara ambayo mara nyingi ilifanyika kila mtaa kwa uwazi kabisaa .

Hatimaye zoezi lilofuata baada ya hayo yote ilikuwa ni utoaji wa hati kwa wale wotee waliokwisha maliza michakato tajwa hapo juu , kwa mtazamo wangu nilifikiri hili pia lingeanzia kwenye mikutano ya mitaa wananchi tupewe taarifa kuwa hati zipo tayari pia tuelekezwe taratibu zote zin azotakiwa ili kama itawezekana kila mwananchi akajichukulie hati yake kiurahisi kabisa .

Lakini katika hali ya kushangaza jana nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha yupo ofisi za ardhi , akinitaka leo siku ya jumamosi tarehe 17 , nifike katika ofisi zao ili nikajichukulie hati yangu . Leo nimeitikia wito ila nimeambiwa natakiwa nitoe laki na nusu (tsh 150,000/=) ndipo nipatiwe hatii nikajalibu kuwakumbusha juu ya ile laki na nusu tuliyowapa kipindi zoezi hili limeanza nikajibiwa kuwa ile ilikuwa ni kwa ajili ya upimaji na hii ya sasa ni kwa ajili ya hati hivyo ni vitengo viwili tofauti . Nikajitetea kwa kusema sawa " mimi leo nilikuja kwa ajili ya kuitikia wito tu sikujua kama natakiwa pia kuja na hicho kiasi mlichonitajia , hivyo naombeni muda nikajipange na pindi nitakapo pata basi nitawaleteeni hicho kitita cha laki unusu mnachokiitaji " mmoja akasema sawa lakini jitahidi si unajua tena ma-file ni mengi ukichelewa linaweza kupotea wakaniruhusu nitoke nikiwa na maswahili yafuatayo

- kwanini watu hawa hawaja taka kulitolea ufafanuzi shwala hili la gharama ya hati kama walivyofanya huko nyuma kwa kuhitisha mikutano na kuwajuza wananchi juu ya jambo hili ?..

  • kweli kiasi hiki cha sh 150,000/= walichokitaka ni sahihi au kuna harufu ya upigaji inayoninyemelea hapa?..
  • sawa kama kiasi hiki ni sahihi nakilipa kwa njia ipi ya benki au nawapa tu cash mkononi?..
Hitimisho
Nikiwa katika dimbwi hili la maswali kimoyo moyo Nikasema hamna shida kule jamiiforum kuna watu wana- deal na mambo haya wanaufahamu wakutosha sana ngoja nikawaulize ili nipate undani wa swala hili. Je wadau hichi nilichokutana nacho ni sahihi?
 
malipo yanapitia mfumo gani kwani?,
kwani navyo fahamu ukishalipa malipo ya awali hakuna mamalipo mengine.
 
Mkuu upo mkoa gani?tafadhali toa location swala hili lifwatiliwe kifupi hiyo ni rushwa
 
malipo yanapitia mfumo gani kwani?,
kwani navyo fahamu ukishalipa malipo ya awali hakuna mamalipo mengine.
Hata mimi nilidhani hivyo na malipo yale kuna namba maalumu ambazo tulipewa na kwenda kulipia benki , lakini hawa wameniambia haya ni malipo mapya ambayo natakawa niyakamilishe ili nipewe hati , hapa ndipo palipo nifanya niulete huu uzi humu ili niweze kujua kama ni sahihi juu ya hichi nilichoambiwa
 
NDEFU KIDOGO

Habari zenu wakuu , nadhani wote tunalikumbuka vizuri lile zoezi la urasimishaji liloanza chini ya raisi wa awamu ya tano marehemu jpm . Ukiachilia mbali changamoto zake , moja ya mambo ambayo mimi kama raia nilifurahia ni jinsi ambavyo wananchi tuliweza kujua hatua kwa hatua juu ya mchakato mzima wa urasimishaji wa ardhi na makazi kwa kupitia mikutano mbali mbali ya mitaa ambayo alianzishwa kwa lengo lakumjuza mwananchi nini kinatakiwa .

Nakumbuka vizuri hatua ya kwanza ni ilikuwa ni kuandaa mkutano ambao uliwashirikisha pia maafisa ardhi ambao walitupa elimu nzuri kabisa juu ya faida ya kupimiwa maeneo yetu namna ya upimaji utakavyokuwa lakini pia hata gharama za upimaji , hakika ilikuwa ni mkutano mizuri sana , afisa ardhi alisema kila " mwananchi atatakiwa atoe kiasi cha sh 150, 000/= tu kwani kiasi kingine serikali yetu pendwa ilikuwa imetusaidia katika kukilipa " hakika tulipaga makofi ndelemo na vifijo juu ya taarifa hii nzuri aliyotolewa na bwana àrdhi yule . Baada ya hapo tulipimiwa maeneo yetu ikifatiwa na usimikwaji wa bicon ( bikoni ) na kuna form ambayo ilitakiwa kila mtu ampatie jirani yake aliyepakana naye aiweke sahihi ili kujiridhisha kuwa bicon zilizowekwa mipakani ziwekwa sahihi kabisa . Ikimbukwe michakato hii yote ilihusisha mikutano ya hadhara ambayo mara nyingi ilifanyika kila mtaa kwa uwazi kabisaa .

Hatimaye zoezi lilofuata baada ya hayo yote ilikuwa ni utoaji wa hati kwa wale wotee waliokwisha maliza michakato tajwa hapo juu , kwa mtazamo wangu nilifikiri hili pia lingeanzia kwenye mikutano ya mitaa wananchi tupewe taarifa kuwa hati zipo tayari pia tuelekezwe taratibu zote zin azotakiwa ili kama itawezekana kila mwananchi akajichukulie hati yake kiurahisi kabisa .


Lakini katika hali ya kushangaza jana nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha yupo ofisi za ardhi , akinitaka leo siku ya jumamosi tarehe 17 , nifike katika ofisi zao ili nikajichukulie hati yangu . Leo nimeitikia wito ila nimeambiwa natakiwa nitoe laki na nusu (tsh 150,000/=) ndipo nipatiwe hatii nikajalibu kuwakumbusha juu ya ile laki na nusu tuliyowapa kipindi zoezi hili limeanza nikajibiwa kuwa ile ilikuwa ni kwa ajili ya upimaji na hii ya sasa ni kwa ajili ya hati hivyo ni vitengo viwili tofauti . Nikajitetea kwa kusema sawa " mimi leo nilikuja kwa ajili ya kuitikia wito tu sikujua kama natakiwa pia kuja na hicho kiasi mlichonitajia , hivyo naombeni muda nikajipange na pindi nitakapo pata basi nitawaleteeni hicho kitita cha laki unusu mnachokiitaji " mmoja akasema sawa lakini jitahidi si unajua tena ma-file ni mengi ukichelewa linaweza kupotea wakaniruhusu nitoke nikiwa na maswahili yafuatayo

- kwanini watu hawa hawaja taka kulitolea ufafanuzi shwala hili la gharama ya hati kama walivyofanya huko nyuma kwa kuhitisha mikutano na kuwajuza wananchi juu ya jambo hili ?..

  • kweli kiasi hiki cha sh 150,000/= walichokitaka ni sahihi au kuna harufu ya upigaji inayoninyemelea hapa ??..
  • sawa kama kiasi hiki ni sahihi nakilipa kwa njia ipi ya benki au nawapa tu cash mkononi ??..

Hitimisho
Nikiwa katika dimbwi hili la maswali kimoyo moyo Nikasema hamna shida kule jamiiforum kuna watu wana- deal na mambo haya wanaufahamu wakutosha sana ngoja nikawaulize ili nipate undani wa swala hili. Je wadau hichi nilichokutana nacho ni sahihi ???
Corruption as loop call
 
Mkuu upo mkoa gani?tafadhali toa location swala hili lifwatiliwe kifupi hiyo ni rushwa
Mimi nipo nyanda za juu kusini sasa napata kigugumizi kufanya maamuzi maana mimi sina utaalamu wowote na mambo ya upimaji au urasimishaji kiujumla na ndiyo maana nimelileta humu ili nipate maoni mbali mbali ya wadau , baada ya hapo nilifanyie kazi
 
Corruption as loop call
Mimi pia moja kwa moja nilihisi kuna kitu hakipo sawa hapa , ila nikaona ngoja nisijitie ujuaji kwa kuwa kuna watu wanauelewa juu ya haya mambo ngoja niwashilikishe nijue undani wake
 
Mimi pia moja kwa moja nilihisi kuna kitu hakipo sawa hapa , ila nikaona ngoja nisijitie ujuaji kwa kuwa kuna watu wanauelewa juu ya haya mambo ngoja niwashilikishe nijue undani wake
Pitia comment namba 2
 
Mimi nipo nyanda za juu kusini sasa napata kigugumizi kufanya maamuzi maana mimi sina utaalamu wowote na mambo ya upimaji au urasimishaji kiujumla na ndiyo maana nimelileta humu ili nipate maoni mbali mbali ya wadau , baada ya hapo nilifanyie kazi
Mkuu, kwa ufahamu wangu ni kuwa hiyo 150k ni ya upimaji pekee, baada ya hapo utaenda ofisini unafanyiwa hesabu kulingana na ukubwa wa eneo lako unailipia hati.

Fuatilia vizuri hiyo sio rushwa ni utaratubu.

Tofautisha gharama za upimaji na gharama za hati...hili lipo miaka nenda rudi.

Watu waliopima ardhi watakuja kukueleza subiria hapa
 
Hata mimi nilidhani hivyo na malipo yale kuna namba maalumu ambazo tulipewa na kwenda kulipia benki , lakini hawa wameniambia haya ni malipo mapya ambayo natakawa niyakamilishe ili nipewe hati , hapa ndipo palipo nifanya niulete huu uzi humu ili niweze kujua kama ni sahihi juu ya hichi nilichoambiwa
kiwanja chako unepitia mfumo wa Mashamba,

Urasimishaji wa Makazi au

Kwa viwanja kilichokuwa kimepimwa

 
NDEFU KIDOGO

Habari zenu wakuu , nadhani wote tunalikumbuka vizuri lile zoezi la urasimishaji liloanza chini ya raisi wa awamu ya tano marehemu jpm . Ukiachilia mbali changamoto zake , moja ya mambo ambayo mimi kama raia nilifurahia ni jinsi ambavyo wananchi tuliweza kujua hatua kwa hatua juu ya mchakato mzima wa urasimishaji wa ardhi na makazi kwa kupitia mikutano mbali mbali ya mitaa ambayo alianzishwa kwa lengo lakumjuza mwananchi nini kinatakiwa .

Nakumbuka vizuri hatua ya kwanza ni ilikuwa ni kuandaa mkutano ambao uliwashirikisha pia maafisa ardhi ambao walitupa elimu nzuri kabisa juu ya faida ya kupimiwa maeneo yetu namna ya upimaji utakavyokuwa lakini pia hata gharama za upimaji , hakika ilikuwa ni mkutano mizuri sana , afisa ardhi alisema kila " mwananchi atatakiwa atoe kiasi cha sh 150, 000/= tu kwani kiasi kingine serikali yetu pendwa ilikuwa imetusaidia katika kukilipa " hakika tulipaga makofi ndelemo na vifijo juu ya taarifa hii nzuri aliyotolewa na bwana àrdhi yule . Baada ya hapo tulipimiwa maeneo yetu ikifatiwa na usimikwaji wa bicon ( bikoni ) na kuna form ambayo ilitakiwa kila mtu ampatie jirani yake aliyepakana naye aiweke sahihi ili kujiridhisha kuwa bicon zilizowekwa mipakani ziwekwa sahihi kabisa . Ikimbukwe michakato hii yote ilihusisha mikutano ya hadhara ambayo mara nyingi ilifanyika kila mtaa kwa uwazi kabisaa .

Hatimaye zoezi lilofuata baada ya hayo yote ilikuwa ni utoaji wa hati kwa wale wotee waliokwisha maliza michakato tajwa hapo juu , kwa mtazamo wangu nilifikiri hili pia lingeanzia kwenye mikutano ya mitaa wananchi tupewe taarifa kuwa hati zipo tayari pia tuelekezwe taratibu zote zin azotakiwa ili kama itawezekana kila mwananchi akajichukulie hati yake kiurahisi kabisa .


Lakini katika hali ya kushangaza jana nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha yupo ofisi za ardhi , akinitaka leo siku ya jumamosi tarehe 17 , nifike katika ofisi zao ili nikajichukulie hati yangu . Leo nimeitikia wito ila nimeambiwa natakiwa nitoe laki na nusu (tsh 150,000/=) ndipo nipatiwe hatii nikajalibu kuwakumbusha juu ya ile laki na nusu tuliyowapa kipindi zoezi hili limeanza nikajibiwa kuwa ile ilikuwa ni kwa ajili ya upimaji na hii ya sasa ni kwa ajili ya hati hivyo ni vitengo viwili tofauti . Nikajitetea kwa kusema sawa " mimi leo nilikuja kwa ajili ya kuitikia wito tu sikujua kama natakiwa pia kuja na hicho kiasi mlichonitajia , hivyo naombeni muda nikajipange na pindi nitakapo pata basi nitawaleteeni hicho kitita cha laki unusu mnachokiitaji " mmoja akasema sawa lakini jitahidi si unajua tena ma-file ni mengi ukichelewa linaweza kupotea wakaniruhusu nitoke nikiwa na maswahili yafuatayo

- kwanini watu hawa hawaja taka kulitolea ufafanuzi shwala hili la gharama ya hati kama walivyofanya huko nyuma kwa kuhitisha mikutano na kuwajuza wananchi juu ya jambo hili ?..

  • kweli kiasi hiki cha sh 150,000/= walichokitaka ni sahihi au kuna harufu ya upigaji inayoninyemelea hapa ??..
  • sawa kama kiasi hiki ni sahihi nakilipa kwa njia ipi ya benki au nawapa tu cash mkononi ??..

Hitimisho
Nikiwa katika dimbwi hili la maswali kimoyo moyo Nikasema hamna shida kule jamiiforum kuna watu wana- deal na mambo haya wanaufahamu wakutosha sana ngoja nikawaulize ili nipate undani wa swala hili. Je wadau hichi nilichokutana nacho ni sahihi ???
Mkuu, kwani wew hujuwi kama urasimu umerudi. Kuna eneo lilipimwa tukaambiwa kama tunauwezo tulilipie na kama hatuna uwezo basi baadhi ya eneo wachukue ardhi.

Siku nimeenda kulipia napewa akaunti namba ya kawaida, nikaomba Control namba nikaambiwa haina haja, daaah nikahis kupigwa.., Yaani zoezi la kulipia likasimama mpaka leo, tatizo la Tz kila mwenye kicheo ni kuwaza upigaji tu.
 
Mkuu, kwani wew hujuwi kama urasimu umerudi. Kuna eneo lilipimwa tukaambiwa kama tunauwezo tulilipie na kama hatuna uwezo basi baadhi ya eneo wachukue ardhi.

Siku nimeenda kulipia napewa akaunti namba ya kawaida, nikaomba Control namba nikaambiwa haina haja, daaah nikahis kupigwa.., Yaani zoezi la kulipia likasimama mpaka leo, tatizo la Tz kila mwenye kicheo ni kuwaza upigaji tu.
Kwa kweli nipo njia panda hapa ninachofanya nikujaribu kuuliza uliza kwa majirani ili nione kama na wao watakuwa wamepewa taarifa kama yangu , kama itakuwa ndiyo basi nitajua kuwa huenda hivi ndiyo mambo yalivyo lkn kama itakiwa tofouti sitojosumbua kabisa kutoa hiyo pesa.
 
Mkuu, kwa ufahamu wangu ni kuwa hiyo 150k ni ya upimaji pekee, baada ya hapo utaenda ofisini unafanyiwa hesabu kulingana na ukubwa wa eneo lako unailipia hati.

Fuatilia vizuri hiyo sio rushwa ni utaratubu.

Tofautisha gharama za upimaji na gharama za hati...hili lipo miaka nenda rudi.

Watu waliopima ardhi watakuja kukueleza subiria hapa
Nashukuru , nilichokuwa nataka kujua ni kama hii gharama nyingine ya 150, 000 nayotakiwa kulipa tena ni sahihi maana nimeona mambo yanafanyika kimya kimya na kwa haraka haraka hapo ndiyo nilipoingia wasiwasi. Nikaoma niulize humu.
 
Nashukuru , nilichokuwa nataka kujua ni kama hii gharama nyingine ya 150, 000 nayotakiwa kulipa tena ni sahihi maana nimeona mambo yanafanyika kimya kimya na kwa haraka haraka hapo ndiyo nilipoingia wasiwasi. Nikaoma niulize humu.
Hakuna rushwa mkuu.
Upimaji ardhi ulikuwa ni kama anasa kabla ya punguzo mkuu.

HIyo ya 150k ni ya upimaji tu tena ni punguzo kwani nusu ililipwa naserikalu.

Baada ya upimaji utaenda kulipia hati baada ya hesabu ya ukubwa wa kiwanja chako
 
Lakin mkuu kwenye form si wameandika gharama zote? Zipo gharama za wizara na pia gharama za Halmashauri.
 
Mkuu, kwa ufahamu wangu ni kuwa hiyo 150k ni ya upimaji pekee, baada ya hapo utaenda ofisini unafanyiwa hesabu kulingana na ukubwa wa eneo lako unailipia hati.

Fuatilia vizuri hiyo sio rushwa ni utaratubu.

Tofautisha gharama za upimaji na gharama za hati...hili lipo miaka nenda rudi.

Watu waliopima ardhi watakuja kukueleza subiria hapa
Uko sahihi mdau nami pia nililipa 120,000 ambapo niliambiwa ni gharama za upimaji. Baadaye nilipigiwa tena hesabu nyingine kulingana na ukubwa wa kiwanja na mpaka sasa nilishapewa hati
 
Back
Top Bottom