Wanataka kunidhulumu

watambi

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2011
Posts
332
Reaction score
265
Naomba ushauri na msaada wa kisheria nimenasa audio ya watu wawili wakipanga jinsi ya kutafuta hati ya kiwanja changu.kwa sasa kiwanja hakina hati. nataka niwashtaki je nitafanikiwa na pia hii imekaaje kisheria
 
Jamani mbona sipati msaada wa GT
 
Wanasheria waliopo jf wanaaibisha sana..... hata kupita humu nehiiii ila ungetangaza tenda wangekwambia wafuate pm

Mkuu tafuta mwanasheria fasta akusaidie. Au polisi ambao wafahamiana nao maana hata ikienda nao polisi kichwakichwa wanaweza kukuzidi maarifa...

Na uhifadhi nakala ya hayo mazungumzo huwezi kujua ya kesho.

Meanwhile ndio ianze mchakato wa kupima sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…