Wanatangaza kifo cha Faru kwa huzuni, wanashindwa kutangaza habari za waliwopatwa ajali ya ndege

Wanatangaza kifo cha Faru kwa huzuni, wanashindwa kutangaza habari za waliwopatwa ajali ya ndege

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Hizi ndizo akili za viongozi wa Tanzânia zilipofikia wanatangaza kifo cha Faru kwa huzuni lakini wanashindwa kutangaza habari za waliwopatwa ajali ya ndege kwao Faru ana thamani kuliko Mtanzania wa kawaida.


 
Mkuu, ni faru sio kifaru. Ila watanzania wenzako tumekuelewa.
 
Back
Top Bottom