Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 Nov 9, 2022 #1 Hizi ndizo akili za viongozi wa Tanzânia zilipofikia wanatangaza kifo cha Faru kwa huzuni lakini wanashindwa kutangaza habari za waliwopatwa ajali ya ndege kwao Faru ana thamani kuliko Mtanzania wa kawaida. Your browser is not able to display this video.
Hizi ndizo akili za viongozi wa Tanzânia zilipofikia wanatangaza kifo cha Faru kwa huzuni lakini wanashindwa kutangaza habari za waliwopatwa ajali ya ndege kwao Faru ana thamani kuliko Mtanzania wa kawaida. Your browser is not able to display this video.
Mwanamaji JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 2,905 Reaction score 4,518 Nov 9, 2022 #2 Mkuu, ni faru sio kifaru. Ila watanzania wenzako tumekuelewa.