Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #21
Unateseka ukiwa wapi?Hakukuwa na plan ya kujenga BRT kutoka Morocco mpaka Tegta huko? Barabara ya kwanza ikfumuliwa na ujenzi ukaanza? Naona imebadilika na kuwa upanuzi wa barabara uliokwama!
Moro road, wameshatoa mapipa na kuweka taa?
Treni inaanza lini?
Mie Ccm na mbowe wapi na wapi?Yawezekana wewe ndio una Chuki bwashee baada ya Mbowe kutimba Ikulu
Tuliambiwa tutaletewa mabasi ya kutumia kine za umeme kama huko majuu wacha tusubili.Hakukuwa na plan ya kujenga BRT kutoka Morocco mpaka Tegta huko? Barabara ya kwanza ikfumuliwa na ujenzi ukaanza? Naona imebadilika na kuwa upanuzi wa barabara uliokwama!
Moro road, wameshatoa mapipa na kuweka taa?
Treni inaanza lini?
Mbinguni, au umeshasahau? Sukuma gang hili.Unateseka ukiwa wapi?
hahahaMbinguni, au umeshasahau? Sukuma gang hili.
panyaroad wanakamatwa! mshindi serikali na wananchiMachinga kawatimua wamegeukia panya road nani mshindi hapo
Mjenge mageleza mengine panya road wamechachamaa kama pipe yamaji iliyooza unaziba hapa kesho inafumua pale sijuwi machinga wanajibu mapigopanyaroad wanakamatwa! mshindi serikali na wananchi
Badilikeni punguzeni uchawa hii ni serikali sio mtu sifa zote kwa sisiemTangu Mama kashika usukani kutwa kucha wamekuwa wakiwanga afeli
Walitegemea miradi ya kimkakati itafeli wapate cha kuongea badala yake miradi inaendelea na hakuna kilichosimama, kuanzia bwawa la Nyerere,SGR, madaraja ya Tanzanite na Busisi na Bandari za Mtwara, Kalema na Tanga
Walitegemea mapato yatashuka Kwa sababu ya mama kutumia akili badala ya maguvu kinyume chake mapato yako mswano na kodi inakusanywa bila kelele na mambo yanaenda
Walitegemea mgao wa umeme utaendelea ili wachonge zaidi kinyume chake Hakuna mgao na Tanesco wanapiga mzigo wa hatari kuongeza vyanzo vya umeme na hali shwari kabisa
Mwisho walitegemea atakosa hela za kuongeza mishahara baada ya Mzee wao kushindwa kuongeza mishahara kwa miaka 6, kinyume chake Mama kaongeza mishahara na hakuna mradi uliosimama
Sasa wamebaki kulalama tu, Mara haiwezekani, mara hakuna mapato , wamesahau kuwa Mungu wao alikopa huku akidanganya kufanya miradi kwa pesa za ndani alafu hata mishahara hakuongeza!
SGR inajengwa kwa mkopo, madaraja mikopo, Barabara mikopo alafu akasotesha watumishi miaka 6 bila nyongeza
Mama endelea kuupiga mwingi, hawa vizabizabina lazima wawehuke na kuvaa bukta kichwani safari hii! Unawachanganya na chuki zao si mchezo![emoji23]
Hahahaaa Ngoja Tusubiri kama italudiNataka kucheka ila mbavu Sina......uviko haiko tena tuone tutapata Tena fedha wapi
Hongera Mama tena Mama wala halali na mafile lakini anafanya maajbu Hongera. Mama na wasaidizi wakoNilichogundua ni kwamba mfalme Juha alikua mshamba sana, hataki ushauri wakati ni zero brain ona sasa mama kamzidi ujanja
Kwani magufuli alikuwa chama tafauti na mama cc tunazungumzia utendaji wa Mtu cio chamaBadilikeni punguzeni uchawa hii ni serikali sio mtu sifa zote kwa sisiem
Tangu Mama kashika usukani kutwa kucha wamekuwa wakiwanga afeli
Walitegemea miradi ya kimkakati itafeli wapate cha kuongea badala yake miradi inaendelea na hakuna kilichosimama, kuanzia bwawa la Nyerere,SGR, madaraja ya Tanzanite na Busisi na Bandari za Mtwara, Kalema na Tanga
Walitegemea mapato yatashuka Kwa sababu ya mama kutumia akili badala ya maguvu kinyume chake mapato yako mswano na kodi inakusanywa bila kelele na mambo yanaenda
Walitegemea mgao wa umeme utaendelea ili wachonge zaidi kinyume chake Hakuna mgao na Tanesco wanapiga mzigo wa hatari kuongeza vyanzo vya umeme na hali shwari kabisa
Mwisho walitegemea atakosa hela za kuongeza mishahara baada ya Mzee wao kushindwa kuongeza mishahara kwa miaka 6, kinyume chake Mama kaongeza mishahara na hakuna mradi uliosimama
Sasa wamebaki kulalama tu, Mara haiwezekani, mara hakuna mapato , wamesahau kuwa Mungu wao alikopa huku akidanganya kufanya miradi kwa pesa za ndani alafu hata mishahara hakuongeza!
SGR inajengwa kwa mkopo, madaraja mikopo, Barabara mikopo alafu akasotesha watumishi miaka 6 bila nyongeza
Mama endelea kuupiga mwingi, hawa vizabizabina lazima wawehuke na kuvaa bukta kichwani safari hii! Unawachanganya na chuki zao si mchezo![emoji23]
Hahahahaha.
......wewe bavicha bure kabisa
Ok kibao gani cha taarabu ungependa kisindikize uzi wakoTangu Mama kashika usukani kutwa kucha wamekuwa wakiwanga afeli
Walitegemea miradi ya kimkakati itafeli wapate cha kuongea badala yake miradi inaendelea na hakuna kilichosimama, kuanzia bwawa la Nyerere,SGR, madaraja ya Tanzanite na Busisi na Bandari za Mtwara, Kalema na Tanga
Walitegemea mapato yatashuka Kwa sababu ya mama kutumia akili badala ya maguvu kinyume chake mapato yako mswano na kodi inakusanywa bila kelele na mambo yanaenda
Walitegemea mgao wa umeme utaendelea ili wachonge zaidi kinyume chake Hakuna mgao na Tanesco wanapiga mzigo wa hatari kuongeza vyanzo vya umeme na hali shwari kabisa
Mwisho walitegemea atakosa hela za kuongeza mishahara baada ya Mzee wao kushindwa kuongeza mishahara kwa miaka 6, kinyume chake Mama kaongeza mishahara na hakuna mradi uliosimama
Sasa wamebaki kulalama tu, Mara haiwezekani, mara hakuna mapato , wamesahau kuwa Mungu wao alikopa huku akidanganya kufanya miradi kwa pesa za ndani alafu hata mishahara hakuongeza!
SGR inajengwa kwa mkopo, madaraja mikopo, Barabara mikopo alafu akasotesha watumishi miaka 6 bila nyongeza
Mama endelea kuupiga mwingi, hawa vizabizabina lazima wawehuke na kuvaa bukta kichwani safari hii! Unawachanganya na chuki zao si mchezo!😂
Na mfalme mshikishwa ukuta yeye yukoje?Nilichogundua ni kwamba mfalme Juha alikua mshamba sana, hataki ushauri wakati ni zero brain ona sasa mama kamzidi ujanja
Soma comment #2Wakina nani hao wanaoongelewa hapa?
Wamebaki kulialia maisha magumu vitu vinapanda bei. Hakuna siku duniani maisha yamekuwa mepesi, siku zote vitu vinapanda bei. Wanaumia kimya kimya wakisubiri wapate cha kulalamikia.Tangu Mama kashika usukani kutwa kucha wamekuwa wakiwanga afeli
Walitegemea miradi ya kimkakati itafeli wapate cha kuongea badala yake miradi inaendelea na hakuna kilichosimama, kuanzia bwawa la Nyerere,SGR, madaraja ya Tanzanite na Busisi na Bandari za Mtwara, Kalema na Tanga
Walitegemea mapato yatashuka Kwa sababu ya mama kutumia akili badala ya maguvu kinyume chake mapato yako mswano na kodi inakusanywa bila kelele na mambo yanaenda
Walitegemea mgao wa umeme utaendelea ili wachonge zaidi kinyume chake Hakuna mgao na Tanesco wanapiga mzigo wa hatari kuongeza vyanzo vya umeme na hali shwari kabisa
Mwisho walitegemea atakosa hela za kuongeza mishahara baada ya Mzee wao kushindwa kuongeza mishahara kwa miaka 6, kinyume chake Mama kaongeza mishahara na hakuna mradi uliosimama
Sasa wamebaki kulalama tu, Mara haiwezekani, mara hakuna mapato , wamesahau kuwa Mungu wao alikopa huku akidanganya kufanya miradi kwa pesa za ndani alafu hata mishahara hakuongeza!
SGR inajengwa kwa mkopo, madaraja mikopo, Barabara mikopo alafu akasotesha watumishi miaka 6 bila nyongeza
Mama endelea kuupiga mwingi, hawa vizabizabina lazima wawehuke na kuvaa bukta kichwani safari hii! Unawachanganya na chuki zao si mchezo!😂