Wanatupwisa lindanda enzi hizo

Wanatupwisa lindanda enzi hizo

Mtazamaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
5,937
Reaction score
1,440
Mtangazaji wenu akikuwa ni RIP Dominick chilambo.
Uwanja Ni CCM kirumba ,mwanza.

Mpira ulikuwa unatangazwa kwenye radio lakini utadhani unauona kwenye TV.

1. Paaul Rwechungura / Madata Lubigisa
2 Daviid Mwakalebela
4.
5 Gorge Masatu
6 Husein Maarsha
7 Hamza mpnda
8.Mau mkami
9. Kitwana Seleman
10. Fumo Felician
11.Nteze John

Mecco na Ushirika Moshi ni timu nyingine zilikuwa zinacheza kandanda safi.
 
Back
Top Bottom