ahsante supervisor.
Hata ukiangalia katika jamii ni kundi gani linalia kila siku kwa kutendwa utaona ni wanawake. Hiyo inamaanisha wanaume wengi uaminifu wao unakaribia 0.
naomba nisiwe bias kwenye hili kulia hakumaanishi kwamba basi ni watakatifu inaweza tukawa tunalia kwa sababu tu ya kufikiria watoto wetu au siku izi kuna speedmeter za kupima humu chini huu utafiti siuamini sana
ahsante supervisor.
Hata ukiangalia katika jamii ni kundi gani linalia kila siku kwa kutendwa utaona ni wanawake. Hiyo inamaanisha wanaume wengi uaminifu wao unakaribia 0.