Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Kurugenzi ya Uraia na Udhibiti wa Uhamiaji ya Uganda (DCIC) imesema imepokea barua kutoka kwa Wanaume wasiopungua 32 wakitaka kufutwa kwa hati za kusafiria za watoto wao baada ya matokeo ya vipimo vya #DNA kuthibitisha kwamba wao si baba wa kuwazaa
Baada ya Ugunduzi huo walitaka taarifa zao ziondolewe kwenye Pasipoti za Watoto hao, jambo ambalo DCIC haikuweza kutimiza na badala yake walituma barua kwa Mamlaka ya Usajili wa Vitambulisho vya Kitaifa nchini (NIRA) ili kusasisha taarifa zao
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Simon Mundeyi amesema hatua hiyo ilichochewa na makala ambayo ilidokeza kwamba baadhi ya Wanaume waligundua kuwa si watoto wote katika familia zao walikuwa wa kwao kibayolojia
......
32 Ugandan men want children passports cancelled after DNA tests turn negative
The Ugandan Directorate of Citizenship and Immigration Control (DCIC) has received letters from at least 32 men demanding the cancellation of their children’s passports after DNA results proved they are not biological fathers.
According to Uganda's Daily Monitor, the men had applied for and acquired passports for their wives and children only to realize the children were not their own.
The men have since demanded their details extracted from the children’s passports.
However, DCIC was unable to grant their wish but instead forwarded their letters to the country's National Identification Registration Authority (NIRA) to update their information.
The Ministry of Internal Affairs spokesperson, Simon Mundeyi told local press that the move was prompted by an article that alluded that some of their counterparts had realized that not all children in their families were biologically theirs.
Source: Daily Monitor, NTV
Baada ya Ugunduzi huo walitaka taarifa zao ziondolewe kwenye Pasipoti za Watoto hao, jambo ambalo DCIC haikuweza kutimiza na badala yake walituma barua kwa Mamlaka ya Usajili wa Vitambulisho vya Kitaifa nchini (NIRA) ili kusasisha taarifa zao
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Simon Mundeyi amesema hatua hiyo ilichochewa na makala ambayo ilidokeza kwamba baadhi ya Wanaume waligundua kuwa si watoto wote katika familia zao walikuwa wa kwao kibayolojia
......
32 Ugandan men want children passports cancelled after DNA tests turn negative
The Ugandan Directorate of Citizenship and Immigration Control (DCIC) has received letters from at least 32 men demanding the cancellation of their children’s passports after DNA results proved they are not biological fathers.
According to Uganda's Daily Monitor, the men had applied for and acquired passports for their wives and children only to realize the children were not their own.
The men have since demanded their details extracted from the children’s passports.
However, DCIC was unable to grant their wish but instead forwarded their letters to the country's National Identification Registration Authority (NIRA) to update their information.
The Ministry of Internal Affairs spokesperson, Simon Mundeyi told local press that the move was prompted by an article that alluded that some of their counterparts had realized that not all children in their families were biologically theirs.
Source: Daily Monitor, NTV