Wanaume acheni kuwaita wake zenu majina ya bei rahisi

red fox

Senior Member
Joined
Jan 5, 2017
Posts
127
Reaction score
342
eti SWEETY,CHOCOLATE&HONEY

Vitu hivi havizidi hata 1000 dukani, hamuoni kuwa ni kuwashusha hadhi???


*waiteni vitu majina ya vitu vya garama angalau ili kupandisha hadhi ya mpenzi wako,


*Muite japo _GUNIA LA MCHELE,MFUKO WA SUKARI,TRECTOR_ n.k*


Mfano unampigia simu unamwambia *nimekumisi gunia langu la misumari*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaburi la pesa itapendeza zaidi[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mfano unampigia simu unamwambia *nimekumisi gunia langu la misumari*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][/QUOTE]

Hahaahaa we jamaa doh!
 
πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ‘Šβ˜πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†poa
 
Hivi hii unaanzaje kumuambia i miss u gnia langu la sembe.Ukirudi nyumbani itabidi uandae maelezo ya kujitosheleza kuwa ile sms haikuwa yake ni Paskali aliazima simu ndio akskosea number ikaja kwako
 
You are right 100%
 
Hivi hii unaanzaje kumuambia i miss u gnia langu la sembe.Ukirudi nyumbani itabidi uandae maelezo ya kujitosheleza kuwa ile sms haikuwa yake ni Paskali aliazima simu ndio akskosea number ikaja kwako
Ueleze maelezo ya kutosha? kwani polisi huyooo? uoga huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…